Siri ya kudumu kwa CCM madarakani ni nini?

Siri ya kudumu kwa CCM madarakani ni nini?

Kwa kifupi sana, naomba kujuzwa ni namna gani hiki chama kikongwe kabisa cha ukombozi barani Afrika na kama sio duniani, chenye alama ya "Jembe na Nyundo" kimeweza kuendelea kusalia madarakani mpaka leo hii February tano 2025, huku kukiwa hakuna hata chembe au dalili yoyote ya kung'olewa madarakani.
Usitetee mambo ya hovyo.
 
Kwa kifupi sana, naomba kujuzwa ni namna gani hiki chama kikongwe kabisa cha ukombozi barani Afrika na kama sio duniani, chenye alama ya "Jembe na Nyundo" kimeweza kuendelea kusalia madarakani mpaka leo hii February tano 2025, huku kukiwa hakuna hata chembe au dalili yoyote ya kung'olewa madarakani.
1-Wizi wa kura kwa kuwatumia watumishi ie walimu,watendaji,polisi na usalama.
Swali lingine muheshimiwa.
 
Kimefanikiwa kutumia
1. Ujinga wa watu
2. Maradhi ya watu
3. Umaskini wa watu
4. Uchawa wa watu

Kwa maslahi yao binafsi, na hivyo kuweza kusalia madarakani hadi hivi leo
Kwa kifupi sana, naomba kujuzwa ni namna gani hiki chama kikongwe kabisa cha ukombozi barani Afrika na kama sio duniani, chenye alama ya "Jembe na Nyundo" kimeweza kuendelea kusalia madarakani mpaka leo hii February tano 2025, huku kukiwa hakuna hata chembe au dalili yoyote ya kung'olewa madarakani.
 
Vyama vingi pinzani havijui Nature vizuri ya nchi. Ndio wanaposhindwa kuwapata wapiga kura wengi. Tannganyika ilipata uhuru kwa wepesi sana. Hakukua na fujo wala bugdha, nyerere alipita kule akapita huku, akakabidhiwa nchi.

Tofauti kidogo na wenzetu, mcoloni wetu aliweza kukututumia, hivo sisi mpaka leo ni watu wakarimu. Hatukuwahi kuonewa.
Tulibaki ni watu sio wa mabadiriko ila watu wa maisha bora. Mabadiriko yatajengwa taratibu taratibu.

Likifika swala la kubadirisha chama. Watanzania wengi sisi hatutokua tayari kuipa chama chochote pinzani nchi, labda huyo mpinzani aje awe ndani ya ccm. Tutamchagua akipewa nafasi ya ugombea wa uraisi.

Wapinzani wa ccm ni watanzania pia, ila vyama vingi vya kipinzani haviendi sawa na nature ya Tanzania.

Hata hizi story kura zinaibiwa sijui polisi, si kweli. Ni story za kipinzani.
Haijawahi tokea mpinzani akachukua ushindi mbele ya ccm haswa uchaguzi kama wa uraisi, labda kusogea karibu na kuitikisa lakini si kuitoa kwenye kiti.

Ccm ni chama pendwa sana cha Tanzania. Though vita vya kipinzani haswa kuipa serikali kila aina ya takataka ni kawaida dunia nzima lakini ccm inakubarika mikoa na vitongoji vyake.

Hilo ndio linaloipa nguvu ccm mpaka sasa.
Na kuna uwezekano mkubwa uchaguzi huu.
 
Vyama vingi pinzani havijui Nature vizuri ya nchi. Ndio wanaposhindwa kuwapata wapiga kura wengi. Tannganyika ilipata uhuru kwa wepesi sana. Hakukua na fujo wala bugdha, nyerere alipita kule akapita huku, akakabidhiwa nchi.

Tofauti kidogo na wenzetu, mcoloni wetu aliweza kukututumia, hivo sisi mpaka leo ni watu wakarimu. Hatukuwahi kuonewa.
Tulibaki ni watu sio wa mabadiriko ila watu wa maisha bora. Mabadiriko yatajengwa taratibu taratibu.

Likifika swala la kubadirisha chama. Watanzania wengi sisi hatutokua tayari kuipa chama chochote pinzani nchi, labda huyo mpinzani aje awe ndani ya ccm. Tutamchagua akipewa nafasi ya ugombea wa uraisi.

Wapinzani wa ccm ni watanzania pia, ila vyama vingi vya kipinzani haviendi sawa na nature ya Tanzania.

Hata hizi story kura zinaibiwa sijui polisi, si kweli. Ni story za kipinzani.
Haijawahi tokea mpinzani akachukua ushindi mbele ya ccm haswa uchaguzi kama wa uraisi, labda kusogea karibu na kuitikisa lakini si kuitoa kwenye kiti.

Ccm ni chama pendwa sana cha Tanzania. Though vita vya kipinzani haswa kuipa serikali kila aina ya takataka ni kawaida dunia nzima lakini ccm inakubarika mikoa na vitongoji vyake.

Hilo ndio linaloipa nguvu ccm mpaka sasa.
Na kuna uwezekano mkubwa uchaguzi huu.
Sentensi yako ya kwanza ni uongo uliopindukia viwango.
 
Back
Top Bottom