Siri ya kung'ang'ania muungano

wanatamani

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
415
Reaction score
145
nilikuwa na jiuliza kwa lipi kumekuwa na mgogoro wa kung'ang'ania muungano na zanzibar bila ya kupata majibu.
Kwa mara ya kwanza nimefunuliwa macho na mzee mwenye umri wa miaka 102 wa zanzibar , ameniambia ninachosababisha hali hii ,ni kuhofia zanzibar kuja kuzida dar es salaam na bagamoyo kwani ni sehemu za zanzibar ,
sijajua kivipi kama kuna mwenye data juu ya hili anipe raha
 
Kwani enzi za Tanganyika ya Mwalimu Nyerere, Bagamoyo na Dar es Salaam zilikuwa ni sehemu ya Zanzibar?
 
Muulize huyo huyo "Mzee" kivipi?
 
Ni kweli mpaka wa hapo kale zanzibar ilikua na bagamoyo mlandizi dar mto rufiji kuelekea baharini
 
Hao Midebwedo hawakawii kusema hata Arusha, Mwanza na Kigoma ni yao.
Pambaf kabisa
 
huyo mzee atakuwa mme wa bi kidude aliye sema hata clauds fm ni yake.wazee wa kiswahili na elima ya kahawa na kashata plus dhumna we kijana et unakwenda kuweta makalio upewe elimu ya muungani
 
Wewe na huyo mzee wote mna ule ugonjwa wa Lukosi....so mawingu yana wafadhili sana ......
 


Mpendwa hapo wala huhitaji data. Yaani hayo maji yooote hapo katikati halafu Dar na Bagamoyo ziwe Zenji. Hii concept ya mipaka itakuwaje? Hiyo haiwezekani hata aliyeweka mipaka ya awali angekuwa teja. Pili ni maajabu yanaoyoweza kutokea Tanzania tu kwamba kisiwa kidai kuwa na milki ya Mainland. Na kama wana uwezo wa kudai Dar ni kwa nini wasidai na Tanganyika yote?
 
Huyo mzee amezeeka vibaya. Kuna wengi wenye mawazo ya kijinga kama hayo ya kudhani pwani ya Afrika Mashariki, hii imimaanisha na Mombasa nchini Kenya zitakuwa Himaya za Zanzibar endapo Muungano utavunjika. Hizi ni ndoto za alinacha ambazo hazitakaa zitimie. Mkivunja muungano mtabaki na hivyo viwilaya vyenu viwili yaani Unguja na Pemba. Mkidai Pwani ya Afrika Mashariki mtakuwa mnadai kichapo kutoka Tanganyika na Kenya. Kwahiyo chagueni moja, kubaki kwenye Muungano au kubaki na viwilaya vyenu.
 
Sidhani kama unaweza ukaamini ujinga kama huo. Wakubali tu kuwa ni nyumba ndogo.
 
huyo mzee atakuwa mme wa bi kidude aliye sema hata clauds fm ni yake.wazee wa kiswahili na elima ya kahawa na kashata plus dhumna we kijana et unakwenda kuweta makalio upewe elimu ya muungani

Huyo mzee alimpastory za ubaharia tu,
 
Sidhani kama unaweza ukaamini ujinga kama huo. Wakubali tu kuwa ni nyumba ndogo ya Tanzania,kubwa ikiwa Tanganyika.
 
Kama ndiyo hivyo, basi hata Mombasa pia nayo ilikuwa chini ya Sultani. Dar es Salaam sina uhakika, ila Bagamoyo nayo pia.
 
Msimpuuze huyo mzee.Hii mada ilishawahi kuleta ubishi sana miaka miwili iliyopita hapa JF,na walikuja wazanzibari wengi humu na point hiyo.Hiyo kitu wana-refer empire ya "ZENJ" wakati wa masultani huko nyuma.Tulitoana ngeu kwelikweli humu ndani!naona huu ugomvi mnataka kuurudisha tena!mie simo!
 
Siri ya kung'ang'ania muungano ni tamaa ya madaraka kwa baadhi ya viongozi na sio maslahi ya umma!
 
Eeh bwana wee...Ama kweli hii ni Dunia ya maajabu! Hebu tuanze na wewe mwenye kwanza...Hivi wewe mwenyewe una upeo wa uelewa na elimu ya kiwango gani ndugu yangu? Na una unaishi dunia gani?...I don't get it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…