wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 145
nilikuwa na jiuliza kwa lipi kumekuwa na mgogoro wa kung'ang'ania muungano na zanzibar bila ya kupata majibu.
Kwa mara ya kwanza nimefunuliwa macho na mzee mwenye umri wa miaka 102 wa zanzibar , ameniambia ninachosababisha hali hii ,ni kuhofia zanzibar kuja kuzida dar es salaam na bagamoyo kwani ni sehemu za zanzibar ,
sijajua kivipi kama kuna mwenye data juu ya hili anipe raha
Kwa mara ya kwanza nimefunuliwa macho na mzee mwenye umri wa miaka 102 wa zanzibar , ameniambia ninachosababisha hali hii ,ni kuhofia zanzibar kuja kuzida dar es salaam na bagamoyo kwani ni sehemu za zanzibar ,
sijajua kivipi kama kuna mwenye data juu ya hili anipe raha