Siri ya kung'ang'ania muungano


.silly....
 
Sultani alimkuta Mreno, kumbe Zanzibar ni ya Portugal?
 
hata wewe kijana hamnazo. utaendaje kuomba mawazo kwa mzee wa miaka 102? hujui kwa umri huo tayari kawa mtoto kiakili.
 
Rejea Katiba ya Zanzibar na ile ya JMT. Kwa hali ilivyo sasa pamoja kukinzana kikatiba, Tanzania Bara au Tanganyika (Tanzania) ndiyo inayoweza kupata visababu wa kutumia nguvu kuimeza Zanzibar. Hofu ya Zanzibar kudai sehemu ya au ukanda wa pwani haiwezi kuwepo kwa watu wenye akili nzuri.
Hata hivyo, ni muhimu kujua historia.
 
Ningekua na uwezo hiki kisiwa cha zanzibar ningekisukumia katikati ya bahari kwani huko mbele kitatupa tabu sana...jk Nyerere.
 
Siku ya mbelen natabiri utakuwa mchawi.make unaelekea pabaya.
 
Ninataka kusikia wajumbe wakihoji yafuatayo na ndipo nitaamini wanayo credibility ya kuchaguliwa kwao:

  • Kwa nini kanuni hazikutayarishwa mapema kabla hawajafika dodoma ili kuokoa mabilion ya nayoteketea kila siku?
  • Kwa nini waliwaita kuripoti huku serikali ikijua mambo hayakuwa tayari???
  • Kwa nini wasichukue hatua za kuihoji serikali kwa kutenda uzembe huu??
  • kukaa dodoma siku tano bila kazi huku wakilipwa shs.300,000 kwa siku wanaona ni sawa??
  • Kweli kuna kuzingatia value for money theory hapa???

wabunge wetu wa bunge maalumu watusaidie japo kuihoji serikali kabla ya ijumaa japo tuona how credible are
 
Siri ya kung'ang'ania muungano ni tamaa ya madaraka kwa baadhi ya viongozi na sio maslahi ya umma!

nkongu ndasu
Una maono makubwa sana. Naona tukuite kiona mbali. Hakuna muungano wwote hapo ni kiini macho tu. Wanajua wanachopata hapo.
Mtu kudai vipande vipande hivyo ni kutaka tu kujinufaisha. Kama wana mawazo kama hayo ushauri ni kuamua tu kurudi nyumbani na kusahau visiwa vyao. Kama ilivyo Kilwa tuhesabu pia visiwani kama wilaya yetu mpya ya visiwani. Hatutakuwa na rais asiye na mamlaka bali DC wa wilaya hiyo ikiwa chini ya mkoa wa pwani tu.
Mbona wananiambia kuwa Zamani za huyo huyo mzee, ati ziwa Victoria lote lilikuwa la Tanganyika, lakini mkoa wote wa Kilimanjaro, Arusha na Mara vilikuwa Kenya. Ili kenya ipate sehemu ya ziwa wakakatiwa sehemu nao wakatoa hiyo sehemu yoote tajwa.
Sasa Kenya wadai sehemu yao? Akili nyingine ka tope tu
 
kwa hyo kumbe kabla ya muungano dar ilikuwa zanzibar? ustake ncheke, kumbe wakat tanganyika inapata uhuru sherehe zilifanyika zanzibar uwanja wa uhuru pale dar?
 
Carl peter and Germany east africa company arrived in Tanganyika in 1885,and in 1888 he LEASED a 16km wide strip from the SULTAN OF ZANZIBAR along the entire coast.
 
Carl peter and Germany east africa company arrived in Tanganyika in 1885,and in 1888 he LEASED a 16km wide strip from the SULTAN OF ZANZIBAR along the entire coast.

Sio 10 miles from coast.
 
Kuna mikataba miwili ya waingereza na wajerumani ya 1886 na 1890. ule wa 1886 ulipunguza himaya ya sultani wa Zanzibar hadi ukanda wa maili 10 wa pwani ya tanganyika na ukiweka na visiwa vya zanziba na Pemba na miji kadhaa ya pwani ya EA. mkataba wa 1890 wajerumani walinunua ukanda huo kutoka kwa sulta. kabla ya hii mikataba sultani wa zanzibar alikuwa na himaya eneo kubwa tu la bara. kimsingi kama si kuja kwa wakoloni kutoka ulaya tanganyika na kwingineko EA lingekuwa eneo la utawala wa waarabu kutokea zanzibar kwa muda mrefu. Hoja ya mzee inajikita kwenye mabo haya ingawa kwa sasa si applicable tena
 
Hivi jina la dar-es-salaam ni nani mwanzilishi
 
84 28
Mar
ch The Society for German Colonization is
formed by Karl Peters in order to acquire
German colonial territories in overseas
countries. Peters signs treaties with
several native chieftains on the mainland
opposite Zanzibar.[11]
18
85 3
Mar
ch The German government announces its
intention to establish a protectorate in
East Africa.
2
Apri
l The German East Africa Company is
formed by Karl Peters to govern German
East Africa.
18
86 1
Nov
em
ber An agreement is reached between Britain
and Germany designating a 10-mile
(16 km) wide strip of land along the coast
as being controlled by Sultan Barghash
bin Said, along with Zanzibar, Pemba, and
Mafia. The area that is to become
Tanganyika is assigned to Germany while
the area will become Kenya is assigned to
Britain.[12]
18
88 Apri
l The German East Africa Company leases
the coastal strip opposite Zanzibar from
Sultan Khalifah bin Said for 50 years.[13]
 
yaleyale ya mombasa kuwa sehemu ya zanzibar, ni kweli kwa wakati huo chini ya waarab lkn leo hii haiwezekani.
 

Sio kununua walikodisha kwa miaka 50.
 
yaleyale ya mombasa kuwa sehemu ya zanzibar, ni kweli kwa wakati huo chini ya waarab lkn leo hii haiwezekani.
then tujiulize kwanini Mwl nyerere alifanya juu chini kuukeep huu muungano kwa gharama yoyote ile?
 
kwamaana nyingine mkataba ulikua uishe mwaka 1938...lakini katikati ya hapo ikatokea vita ya kwanza ya dunia na wajerumani wakaondoka Tanganyika na kumwachia mwingereza...je nini ilikua hatima ya huo mkataba wa kukodi ukanda wa pwani kwa miaka 50?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…