sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #21
Elimu ya uchumi binafsi ipp katika kiwango kibaya sana hii nchiMkuu mada yako imenigusa sana.
Watanzania wengi wamekosa hii elimu.
Utakuta kijana amepata kazi ya mshahara laki 7 then ghafla anaanza maisha ya showoff kabla hata hajajiwekea misingi mizuri.
Mwisho wa siku kazi mkataba ukiisha hata saving yoyote anarudi kuwa tegemezi hata kulipia kodi ya chumba hawezi tena anaanza kuuza vitanda alivyokuwa analalia ili apate hela ya kula.
Unazungumziaje wale watu waliofuata km ulivyosema au shauri,lkn bado wana hali ngumu kiuchumi?.Watoto hufanya kile wanachokipenda ila mtu mzima kabarikiwa uwezo wa kuujua uhalisia, kubuni mipango na kuifata.
Kuna kitu muhimu ambacho hakikwepeki mimi na wewe tunapotumia pesa, si kingine bali ni "HESABU", yawezekana ni wengi tu tunazijua hesabu lakini hapa ni kuhusu kuzitumia.
Tunajiingiza katika matarizo, mawazo, umaskini, mikopo kwa sababu hatuna wito wa kufanya hesabu kabla ya kufanya miamala.
Si ajabu mtu akawa una uwezo wa kumsomesha mwanao shule za milioni 2 lakini misaada kwa ndugu ikaongezeka na hivyo kulazimika kumeta mtoto wako saint kayumba sababu ulipuuza hesabu.
Si ajabu kijana anaepokea laki 9 ya mshahara kwenda kukopa benki milioni 10 anunue gari ila akalipaki kwasababu mshahara umepungua kwajili ya makato mapya sababu alipuuza hesabu, Haiingii akilini utapata pumziko maridhawa la kuendesha gari bila stress kwa hii mbinu.
Mtu masikini wa mawazo yeye anaponunua kitu anachofikiria kinachompa tiketi ya kununua kitu ni "nina uwezo wa kununua hiki kitu (hata kwa mkopo) huku wakisahau kama wataweza kuvitunza bila stress.
Angalia hali yako jabla ya kufanya maamuzi ya fedha na sio baada ya kufanya muamala, hesabu ni hizi za kawaida tu za shule ya msingi, usiwe nyuma bali uwe mbele ya hizi hesabu.
Una miaka 30 lakini hali yako ni mbaya vile vile tangu uajiriwe ukiwa na miaka 25 na pengine ikawa mbaya zaidi, kila unaporejesha deni baada ya miaka mingi ya mateso ya marejesho unarudia tena kukopa ili ununue gari au ufanye anasa, nakwambia ya kwamba hadi uote mvi utamtafuta mchawi kumbe ni wewe.
Unaponunua vitu ambavyo huvihitaji ama havina umuhimu sana katika maisha yako basi jua kuna siku utashindwa kununua vitu muhimu utavyohitaji. hesabu nuepesi hii.
Anza kujengga tabia ya kuchukia kutumia pesa, jifunze kutengeneza pesa hata kama ni kutunza hazina, wewe kunja noti yako mara mbili irudishe mfukoni uone ndani ya mwaka umeweza kutunza ngapi, kwa maana hii achana na matumizi yasiyo na umuhimu/
Usiishi maisha ya mboga saba kwenye kipato cha tembele
Usiishi maisha ya kufurahisha wengine au kufanya ujulikane unazo, wewe una ex wako mshamalizana ya nini kujaza lita za ziada kwenye gari ili tu ujipitishe anaposhindaga akuone?
Halafu unakufaHaya ndio madini sasa,,
Wanasema mbinu ya utajiri ni ubahili
wewe jamaa unajielewa sana.
Umefuata nyayo zangu hata mimi nilikuwa naishi hvyo.
Watu walikuwa wananicheka sina vitu vya ndani kumbe nilikuwa navunga tu kama ningeamua ningetumia mshahara mmoja tu.
Sasa hivi ninavyokwambia nimejenga my dream house na bonge la flat Screen limening'inia ukutani.
Endelea na hiyo spirit utafika mbali
Ahahahaha mkubwa naona umeamua kutuchana ..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watoto hufanya kile wanachokipenda ila mtu mzima kabarikiwa uwezo wa kuujua uhalisia, kubuni mipango na kuifata.
Kuna kitu muhimu ambacho hakikwepeki mimi na wewe tunapotumia pesa, si kingine bali ni "HESABU", yawezekana ni wengi tu tunazijua hesabu lakini hapa ni kuhusu kuzitumia.
Tunajiingiza katika matarizo, mawazo, umaskini, mikopo kwa sababu hatuna wito wa kufanya hesabu kabla ya kufanya miamala.
Si ajabu mtu akawa una uwezo wa kumsomesha mwanao shule za milioni 2 lakini misaada kwa ndugu ikaongezeka na hivyo kulazimika kumeta mtoto wako saint kayumba sababu ulipuuza hesabu.
Si ajabu kijana anaepokea laki 9 ya mshahara kwenda kukopa benki milioni 10 anunue gari ila akalipaki kwasababu mshahara umepungua kwajili ya makato mapya sababu alipuuza hesabu, Haiingii akilini utapata pumziko maridhawa la kuendesha gari bila stress kwa hii mbinu.
Mtu masikini wa mawazo yeye anaponunua kitu anachofikiria kinachompa tiketi ya kununua kitu ni "nina uwezo wa kununua hiki kitu (hata kwa mkopo) huku wakisahau kama wataweza kuvitunza bila stress.
Angalia hali yako jabla ya kufanya maamuzi ya fedha na sio baada ya kufanya muamala, hesabu ni hizi za kawaida tu za shule ya msingi, usiwe nyuma bali uwe mbele ya hizi hesabu.
Una miaka 30 lakini hali yako ni mbaya vile vile tangu uajiriwe ukiwa na miaka 25 na pengine ikawa mbaya zaidi, kila unaporejesha deni baada ya miaka mingi ya mateso ya marejesho unarudia tena kukopa ili ununue gari au ufanye anasa, nakwambia ya kwamba hadi uote mvi utamtafuta mchawi kumbe ni wewe.
Unaponunua vitu ambavyo huvihitaji ama havina umuhimu sana katika maisha yako basi jua kuna siku utashindwa kununua vitu muhimu utavyohitaji. hesabu nuepesi hii.
Anza kujengga tabia ya kuchukia kutumia pesa, jifunze kutengeneza pesa hata kama ni kutunza hazina, wewe kunja noti yako mara mbili irudishe mfukoni uone ndani ya mwaka umeweza kutunza ngapi, kwa maana hii achana na matumizi yasiyo na umuhimu/
Usiishi maisha ya mboga saba kwenye kipato cha tembele
Usiishi maisha ya kufurahisha wengine au kufanya ujulikane unazo, wewe una ex wako mshamalizana ya nini kujaza lita za ziada kwenye gari ili tu ujipitishe anaposhindaga akuone?
Kweli tuko tofauti..Tunaongeza liability badala ya assets
Me nimeajiriwa mwaka huu mwanzoni watu wananishangaa the way ninavyoishi Wengine wananicheka ninavyojibana
Sina TV wananiona mshamba japo kuwa hizo TV na takataka zake naweza nunua in in one month salary so nawacheki wanavyoshindana kununua mapambo ya ndani mwenzao huyo this month naanza kulipia kiwanja
Inshort vitu vya muhimu ninavyo Ila makorokoro ya kuuzia sura siyataki
Nahisi labda baada ya kunywa madini ya kiyosakiView attachment 1566775
Umeongea sahihi Ila ngoja Nikupe mfano tu;Hakuna tajiri bahili ubahili ni hulka ya masikini asiye na kitu siri ya utajiri haipo kwenye ubahili bali ipo kwenye kutengeneza pesa nyingi na kuwa na vyanzo vingi vya mapato acheni kudanganya watu maskini wengi ndo hutumia pesa kwa ubahili na kujinyima sana hakuna tajiri bahili wengi ndo huongoza kwenye kufanya masherehe, kumili magari makali, nyumba nzuri, watoto kusoma shule nzuri, kusaidia etcetc in short wao ndo huongoza kwa expenditures. Kamwe usimshauri masikini ubahili. Ubahili hauleti utajiri, ubahili unaleta kuridhika na uvivu ubahili humfanya mtu asipende kufanya kazi.
Shauri watu kufanya kazi kwa bidii na kuongeza vyanzo vya mapato pesa iwe mingi expenditures ziwepo lakini pesa iwe iwe inaingia zaidi usishauri watu ubahili
Umeongea sahihi Ila ngoja Nikupe mfano tu;Hakuna tajiri bahili ubahili ni hulka ya masikini asiye na kitu siri ya utajiri haipo kwenye ubahili bali ipo kwenye kutengeneza pesa nyingi na kuwa na vyanzo vingi vya mapato acheni kudanganya watu maskini wengi ndo hutumia pesa kwa ubahili na kujinyima sana hakuna tajiri bahili wengi ndo huongoza kwenye kufanya masherehe, kumili magari makali, nyumba nzuri, watoto kusoma shule nzuri, kusaidia etcetc in short wao ndo huongoza kwa expenditures. Kamwe usimshauri masikini ubahili. Ubahili hauleti utajiri, ubahili unaleta kuridhika na uvivu ubahili humfanya mtu asipende kufanya kazi.
Shauri watu kufanya kazi kwa bidii na kuongeza vyanzo vya mapato pesa iwe mingi expenditures ziwepo lakini pesa iwe iwe inaingia zaidi usishauri watu ubahili
wewe jamaa unajielewa sana.
Umefuata nyayo zangu hata mimi nilikuwa naishi hvyo.
Watu walikuwa wananicheka sina vitu vya ndani kumbe nilikuwa navunga tu kama ningeamua ningetumia mshahara mmoja tu.
Sasa hivi ninavyokwambia nimejenga my dream house na bonge la flat Screen limening'inia ukutani.
Endelea na hiyo spirit utafika mbali.
Mungu akupangii uwe na madeni benki.Huu ulimwengu umejawa na mashauri kibao, ila kama Mungu alikupangia utaishi hivi, hata hakuna mwanadamu anaweza weka nguvu yake kubadilisha
Mkuu huwezi kupata utulivu wa kufikiria maendeleo kama upo kwenye nyumba ya kupanga huku unafikiria muda wowote mwenye nyumba atakuja kukugongea mlango kudai kodi yake.Umeongea sahihi Ila ngoja Nikupe mfano tu;
Ubahili ni nguzo ya utajiri kwa uliyezaliwa umasikinini ..
Kuna jamaa mmoja ni yatima ye alikuwa kwa kudra za Mungu na sasa ana ajira.
Aliajiriwa 2015 serikalini.
Akaanza kuwa bahili.
Ubahili wake umemfanya awe na nunue mashamba makubwaa, maana hutunza pesa mwaka mzima halafu December (likizo) huenda kununua mashamba.
Alivyofika Eka 100 aliamua kupanda parachichi, kaanza 2020.
Pia kwa ubahili wake, ameweza kupanda eneo kubwaa mara MOJA.
Anaamini sanaa kwenye kilimo na anakomaa nacho.
Hana source nyengine ya pesa na yeye anakwambia INVESTMENT IS BETTER THEN BUSINESS.
POINT YANGU NI KWAMBA:-
Wakati una source MOJA, ukiwa unatengeneza ya pili UBAHILI MUHIMU na ni nguzo ya kujenga hiyo ya pili.
#
Mnakuaje mabahili halafu mnajenga liabilities?
Maana nyumba ya kuishi ni liability, itahitaji maji, umeme, matengenezo na ....
Nafikiria tuwe mabahiri huku tukitengeneza cash generating assets.
Tujenge nyumba ZA KUPANGISHA
Tununue mashamba ya kupanda mfano miti, matunda ili tuuze hizo products.
Tununue hisa...
Unakuaje bahili halafu at the end unaishia kumiliki malii zisizozalisha?
#YNWA
Bado maisha sijayapatia ila naamini nimejiwekea msingi mzuri.Kwa hiyo unajiona maisha umeishayapatia kwa kuwa na nyumba na flat screen. Hizo ni liabilities hazikuingiziu chochote
Mkuu uko sahihi.Umeongea sahihi Ila ngoja Nikupe mfano tu;
Ubahili ni nguzo ya utajiri kwa uliyezaliwa umasikinini ..
Kuna jamaa mmoja ni yatima ye alikuwa kwa kudra za Mungu na sasa ana ajira.
Aliajiriwa 2015 serikalini.
Akaanza kuwa bahili.
Ubahili wake umemfanya awe na nunue mashamba makubwaa, maana hutunza pesa mwaka mzima halafu December (likizo) huenda kununua mashamba.
Alivyofika Eka 100 aliamua kupanda parachichi, kaanza 2020.
Pia kwa ubahili wake, ameweza kupanda eneo kubwaa mara MOJA.
Anaamini sanaa kwenye kilimo na anakomaa nacho.
Hana source nyengine ya pesa na yeye anakwambia INVESTMENT IS BETTER THEN BUSINESS.
POINT YANGU NI KWAMBA:-
Wakati una source MOJA, ukiwa unatengeneza ya pili UBAHILI MUHIMU na ni nguzo ya kujenga hiyo ya pili.
#YNWA
Unamjua Gulam Dewji..Mkuu uko sahihi.
Lakini hata waliozaliwa kwenye utajiri pia ni wabahili tena zaidi ya maskini.
Mfano angalia wakina Mo dewji wanavyowafanyisha watu kazi ngumu kwenye viwanda vyao kisha wanawalipa elfu 6 kwa siku.
Huu sio ubahili?
Kwa mfano sisi watu wa kawaida wenye mishahara jamaa yako au rafiki yako akikusikitikia shida kumpa elfu 50 au laki ni kitu cha kawaida.
Au kukaa bar na kumnunulia kinywaji mtu mliyejuana siku hiyo hiyo ni kawaida.
Ila kwa matajiri hawatoagi hela kama hizi japo akaunti zao zinasoma bilioni kadhaa.
Huo ndio ubahili wenyewe sasa
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwa hiyo wewe unataka kujidanganya kwamba akina Mo kwa vile wamepanga upanga ndio hawana nyumba?au unadhani hawajawahi kujenga?acha kufuata mkumbo mkuu utaingia chaka.Unamjua Gulam Dewji..
Baba wa Mohamed Dewji mwenye METL.
Yule mdingi ana nyumba amepanga Kati ya upanga au masaki.
Maana pia ana mdogo ake (fazal Dewji@baba mdogo wa Mohamed Dewji) sasa Kati yao mmoja yupo upanga mwengine masaki na wotee wamepanga.
Diamond platinumz pamoja na utajiri wotee alionao Ila kapanga kwa madale.
Kumiliki nyumba ya kuishi SI UTAJIRI.
Kabla ya kumiliki nyumba na/au gari hebu tengeneza MIFEREJI YA PESA KWANZA.
#YNWA
Narudia kwenye comment ya juu kabisa.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwa hiyo wewe unataka kujidanganya kwamba akina Mo kwa vile wamepanga upanga ndio hawana nyumba?au unadhani hawajawahi kujenga?acha kufuata mkumbo mkuu utaingia chaka.
Unamtolea mfano Gulam Dewji au Mo Dewji kwa mfano akifukuzwa kwenye nyumba ya kupanga,akiuza godowns zake za kutunzia magari hawezi kujenga nyumba?au akifukuzwa fenicha zake ataenda kuzihifadhi kwenye godowns zake,je wewe mwenzangu na mie utafanyaje?
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app