Siri ya kutokukosa hela tena (Kutokufulia) hii hapa. Soma hutajuta...

Kumbe nyumba uko nazo hapo sasa nimekuelewa,mwanzoni nilikunukuu vibaya nikafikiri unasema kujenga ni ujinga.
Kama umejenga ukapangisha pia ni sawa,yaani ni kitu kile kile tu unapokea kodi ya nyumba kisha na wewe unailipa ulikopanga hakuna tatizo hapo hauwezi ukanyanyasika kwa sababu una uhakika wa kupokea kodi hata kama umeachishwa kazi.
Kimbembe ni pale haujajenga nyumba kabisa umepanga halafu kuna biashara unayoitegemea ikayumba au ikafilisika hapo ndio utajua kwa nini wimbo wa Taifa hauna video.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Hongera!
 
Maisha yenyewe mafupi unaacha kujimwambafy unakunja kunja vinoti unaficha ya nini? Tùsipangiane maisha bwana![emoji16]
 
HILI NI MOVIE LAKUTISHA SANA WAKUU IMENIFANYA NIANZE NA KUANZISHA BIASHARA ZAIDI YA MOJA, NIMEANZISHA BIASHARA KABLA YAKUJENGA NA BISHARA IMEKUA NIMEMUACHIA WIFE SASA ISHU ZA KODI CHAKULA NA MAMBO MADOGO MADOGO SIO ISHU ZAKUWAZA SASA NAFANYA PROJECT NYINGINE KUBWA BILA WASIWASI NA NIMESHANUNUA KIWANJA NYUMBA IKO KWENYE HATUA NZURI, MIMI NAMKUBALI MZEE WA RICH DAD, POOR DAD.

Kuna jambo moja niliweke wazi ishu sio kuishi kwa kujibana ishu nikuongeza njia zakipato nakupunguza matumizi yakizembe, kujionesha hapana. Jua flow yako ya fedha na anzisha au kuza kipato kwanza kabla yakuongeza matumizi.

Mfano: Unataka kununua gari basi kabla yakununua unaweza fungua biashara au uongeze elimu mshahara upande ndio ulinunue hilo gari maana ukilinunua na bado kipato chako hakija kua utajipa stress ya kuliudumia.
 
Agreed [emoji817][emoji110] ....kwa mtu alietokea ..maisha duni ..na Hana connection Ubahili ndo silaha pekee iliyobakia ...
 
[emoji817][emoji110]
 
Topiki yako inawahusu watu wenye shida. Mimi binafsi chakula, mavazi, malazi, mafuta ya gari, ada za watoto hela za kusaidia ndugu sio shida tena so so si fit kwenye kanuni zako
 
Huu ndio ushauri sasa
 
Leta pdf ya hichi kitabu
 
Leta pdf ya hichi kitabu
tumsaport kwa kukinunua maana sio ghali kiko Amazon, vya bure havina dhamani, gharama yake haifiki kreti mbili za castle light.
TUGHARAMIKE MAANA KINA LIPA
 
duuu! Eka Mia parachichi Kama namuona upcoming tajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…