Siri ya Mafanikio Kupitia Manifestation -1: Manifestation ni Nini?

Unakuta mbongo anasubiria connection ili atoboe au apate kazi.
Connection haikufuati bali we ndo unaitafuta
It's true, mafanikio it's all about connections, kuwa connected, manifestation inakufungulia njia za connections unakuwa connected. Hata kwenye siasa, ili ufanikiwe kisiasa ni lazima uwe na manifesto nzuri, neno manifesto, limetokana na manifestation.
P
 
Ee Bana Paskali wiki ijayo mida ya saa 👍
Hizi ni ngoma za Jumapili hadi Jumapili, huwa naziandika Jumamosi usiku, kisha Jumapili nikitoka church, napiga brunch, kisha natulia kidogo kucheza na vijukuu kisha ndio nashusha jf mida ya mchana mchana.
P
 
matumizi ya numbers ni numerology, ni kama mambo ya aastrology na palmistry ni mambo ya ubashiri, au Kiislamu shirki, hizo unazoziita nguvu za universe, sio za universe bali ziko ndani yako.
P
Matumizi ya number yapo pande zote kwenye Nuru na Giza inategemea unaegemea upande upi.
Shetani kaiga kila kitu toka kwa Mungu
 
Asante
 
Alaumiwe Mungu, katupa nguvu zote kisha anawafunulia wachache uwezo wa kutambua nguvu zilizomo ndani yetu. Kwani kuna tatizo gani leo Mungu akatufunulia kila mtu tukaona yote waonayo wengine tusiyoyaona?

Kuna mtu kasema tufanye kazi, kuna watu wanasema kazi ni utumwa, wote tunatafuta pesa lakini pesa ni chache watu tuko wengi.

Lini tuta balance maokoto, Yani Mo na mimi tupate sawa kama ni TSH 1000 kwake na kwangu hivyo hivyo, bila kuwasahau wajukuu wa Matonya mitaani.

Katoliki walitufundisha Mungu baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu, na tuombapo eti maombi yetu yapitie kwa Yesu Kristo bwana wetu, sana huyu umsemaye aliyemo ndani mwetu kupitia roho mtakatifu ni yupi tena kaka?

Mnatuchanganya, sana au walimu wa katekisimu ndio walituchanganya?

Minifestatioon ni Kujiongeza kwa maana nyingine, Majambazi tuansema yanatenda dhambi, wakati yamejiongeza, dhambi ni nini?

Mnatuvuruga sana mkuu, anyway ngoja niwe nanunua mikeka kila siku natumia Mungu anayeishi mwilini mwangu nione kama atasaidia, au Miungu wetu wamezeeka au wamelala?

Tukienda makanisani ku wa revive tunapigwa damn.
 
Ni kweli kabisa, na ndizo zinazotumiwa na wahubiri wengi wa wokovu kuwaaminisha waumini wao kuwa wao ni powerful, hivyo waumini wanammanifestia kiongozi wao na kupeleka maokoto ya sadaka wakijua ni wanamtolea Mungu, na kiukweli wanakamuliwa haswa.
P
Kaka Pascal na hii ya kanisa unaloabudu (nami pia) la Roman Catholic la kusema usipolipa zaka na michango mingine hatutakuzika pindi unapokufa wewe na familia yako imekaaje?
Ningetamani siku upandishe uzi hapa
 
Kaka Pascal na hii ya kanisa unaloabudu (nami pia) la Roman Catholic la kusema usipolipa zaka na michango mingine hatutakuzika pindi unapokufa wewe na familia yako imekaaje?
Ningetamani siku upandishe uzi hapa
Hiyo ni dhulma kubwa sana kwa waumini na sio mpango wa Mungu!, ila roho ikiisha acha mwili, mwili hauna issues tena, yale maziko ya kanisa hayaongezi chochote bali ni faraja tuu kwa wafiwa, tungekuwa tunatembelea mwili kuufunua seven days baada ya kuzika, wengi wange opt for cremation!, uzikwe na kanisa, usizikwe, uchomwe, uzame , upotee, it makes no difference.

P
 
Hongera na shukrani sana Mwanabodi Paskali kwa mada nzuri..
 
Asante mkuu. Nakubali sana kuwa kuna uungu ndani yangu ila kwa kweli siamini kama mimi ni yule God. Swali langu japo linaweza kuwa nje ya Mada.. Kwa hiki unachosema ina maana tunakosea pale tunapofanya worship kwa Mungu? Je vipi kuhusu ushirika na Roho Mtakatifu? Mie nikiabudu kuna namna nahisi inayonifanya nijione one with God. Nisaidie maoni yako tafadhali
 
Bro Pascal naomba nikuulize,
Katika manifestation, je vibration ni nini? Naipataje? Maana naweza kuwa na vingine vyote ikakosekana hiyo vibration.
Pia mimi zamani kabla sijasoma haya mambo sijui ya law of attraction nilikua nikivisualize kitu kinatokea. Tangu niyasome niki visualize havitokei😆😆😆 I don't know what's wrong. So siku hizi I don't practice visualization anymore
 
Vuta kumbukumbu vizuri hiyo zamani ulikua na tabia(matendo) gani, na sasa hivi unatabia gani,

Kwasababu haya mambo yanakanuni zake, na hizo kanuni huwezi kuzitenganisha na kanuni. za Mungu, kinachotofautisha ni kwamba alie anzisha na kuita law of attraction hakutaka kuihusianisha na imani yoyote inayomuhusu Mungu. Ila kanuni ni zile zile.

Huu ni mtizamo wangu, akija mleta mada atakujibu vyema kabisa kulingana na context ya uzi wake.
 
vibration = thoughts/ mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…