Siri ya mafanikio ya Bishanga (for ladies only).

wala...naishi mandazi rodi msasani chumba cha uani.
Hehehe! Basi wanakuchora tu ili usijisikie vibaya, katika vitu ambavyo wadada huwa tunafundwa tukipelekwa unyagoni ni pamoja na hilo la kumsifia mwanaume hata kama ana kibamia kama cha Bishanga, sasa na wewe za kuambiwa changanya na zako afu upime mwenyewe kama kweli unazistahili hizo sifa..
 


Bora umempa ukweli wake Wifi.... Kazidi saana kujisifia B' lol
 
Bora umempa ukweli wake Wifi.... Kazidi saana kujisifia B' lol
Hahaha! Wifi ai misi yuu, yaani nilipanga usingetokea leo nikufanyie sapraizi ya kuja kwako jioni una bahati sana!
Uko poa weye?

Achana na B wifi manake anasifiwa wakati anajijua hana hizo sifa afu anavimba likichwa lol. Hajui wanawake tuna akili mpaka za akiba shauri yake!
 
Asante, hata mie ananichanganya sana siku hizi.
Kuna wakati namptita bila hata salamu sababu nimemsahau.

Rocky bana nyoa kipara viduku vya masharobaro lol

kwa nini umebadili avatar yako?
 
Nikupe hela kwa lipi?

Mtu mwenyewe hadi ufungwe P.O.P ndo unasimama, ushindwe!
Labda alikuwa Eliza wa Tegeta.

jamani Konnie mara ya mwisho tumekutana we mbona ndo ulilipia chumba ukanipa na hela ya taxi?
 
habari yangu mswano.
Hapo kwenye red Asha umejuaje?
 
Ni mahela pamoja na hayo ni mzamiaji mzuri wa kutafuta chumvi. (UVINZA)
hahahahaaaaaaa.....mbavu zangu jamani.......MamaB ulimi wangu una aleji na hiyo maneno,wayapenda weye?
 
Mambo Babu DC,
(Vijukuu havina adabu siku hizi, nikupe shikamoo nataka kukunyima nini?)

Hivi una kilo ngapi? Maana umeibeba pikipiki.

Leo mie ni denti (wa kusoma)!!!

Ngoja nikatafute madaftari!

Babu DC!!
 
hahahha..... PJ Yamekua hayo tena? ile kesi haijaisha tu? Huoni nilivo nyenyekea kwa salam za upole hapa? Hio ilikua ni kuua kesi....
we Asha kwa nini hujanipongeza nimefikisha post alf tano leo?
 

Miss you more my sweet wifi... Niko pouwa kabisaaa.... nyumbani siku hizi pabaya! Canta kaolewa, Husny kaamia kwa mchumbake, Mwali kaenda shule, Smile anajitegemea, Golden Mpolee ajulikani yupo wapi! Nataka niwatoe watoto boarding waanze kusoma day...lol

Wee wifi mimi naona tubanane na B' tumsifieeeee hadi atugaie mapesa! hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…