Siri ya mafanikio ya Bishanga (for ladies only).

hahahahaaaaaaa.....mbavu zangu jamani.......MamaB ulimi wangu una aleji na hiyo maneno,wayapenda weye?
Kwa nini nisipende lakini kwa yule wangu wa moyo, sio kwa kila mtu, kama ww ulivyo na mahawara kibao.
 
hahahahahah sasa bishanga mupenzi akishakusifia si ndo umuulize? usikute anakusifia kwa kuwa humchoshi na mkwanja unatoa
 

Ashadii,yesterday i said you are a genius but i think you are more than that.Hebu ni-PM,may be you can revive my alraedy lost direction
 
habari yangu mswano.
Hapo kwenye red Asha umejuaje?

Si hua wajisifia mwenyewe?!

we Asha kwa nini hujanipongeza nimefikisha post alf tano leo?


Yaani Bishanga mimi nikiona post yako naona raha ajaaabu!
Hivo post zinavozidi kuongezeka idadi ndio jinsi raha yangu yaongezeka.
Nikisoma signature na kuangalia avatar yaani nahisi wewe ndie Mahatma Ghandhi mwenyewe.
Leo hii ilikua usipotokea hapa haki ya nani nimuombe Sweetie anitafutie namba yako kwa udi na uvumba!
Yaani Bishanga hapa jamvini bila wewe sidhani kama mimi naweza endelea kua member.... SIDHANI! :wink2:
 
jamani sasa ndo unanishauri nini,niende kwa wachina?
 
Mhhhhh!For ladies,haya ngoja waje!
 

Sorry Bishanga napita tu lakini labda ilienda pande zile za Muheza,Tanga ukapata kitu kinaitwa "NGEKEWA"Te te te te.........
Na hongera sana kwa 5000th post
 
Miss you more my sweet wifi... Niko pouwa kabisaaa.... nyumbani siku hizi pabaya! Canta kaolewa, Husny kaamia kwa mchumbake, Mwali kaenda shule, Smile anajitegemea, Golden Mpolee ajulikani yupo wapi!
Na King'asti nae...?
 
Daah pole sana lovely wifi manake sipati picha hapo nyumbani palivyopoa... Kumbe husni alivonambia atahamia kwa Judgement kafanya kweli? Mie nilidhani anantania.... Kaka atakubali kweli watoto warudi day? Sina hakika....


Afu wifi mke mwenza King mbona simwelewi?...kama wewe umebahatika kumwelewa tafadhali nijuze ili roho yangu itulie.


Bishanga leo ni wetu, hatumwachi asee.. Chezeiya bepari la kihaya weye?
 
Asante, hata mie ananichanganya sana siku hizi.
Kuna wakati namptita bila hata salamu sababu nimemsahau.

Rocky bana nyoa kipara viduku vya masharobaro lol
hebu mweleze bana,ile ingine alionekana machua man sasa hii lol utadhani ka serengeti boy!
 
Nikupe hela kwa lipi?

Mtu mwenyewe hadi ufungwe P.O.P ndo unasimama, ushindwe!
Labda alikuwa Eliza wa Tegeta.
simama dede,nikupe mkate...
kakisimama.....
kasimama peke yake kaona mchumba wake(rejao)
 
bado hadi mchana nimewekewa drip hapa au nikuwekee photo?

Get well soon Smile. Nkpata chance ntakuja kukujulia hali nyumbani kama utakuwa umesharuhusiwa kutoka hospital
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…