Siri ya mafanikio ya Bishanga (for ladies only).

Labda una hela ya kutosha, au ni mcheshi, pia kuna aina ya vijana, ni so easy kufall nao, then badae unajiuliza, hapa nimependa nini? jibu hupati but still unampenda na hauko tayari kumpoteza
kama Bishanga ,eti?
 
Hapana Kongosho... ni for the benefit ya hii thread tunafanya practice....



Mie nimekushangaa wewe hapo... Hapo nyuma nimekusifia kweli lakini umenikaushia! lol
kwenye red.....what are you imlying?.......kwamba we naaaaaa.......
 
kwenye hako ka red,FL1 hivi kwenye sinema ushawahi kuona sterling anauawa?
 
Kuna mtu kanionea kongosho hapa? mwambieni namwita huku nimemmisi eti.....
toooba yarabi,kumbe hii ndo line picture ya konnie wakati anatoka kuelekea outing na aspirin? hivi mlikuwa mnatoka kwenda wapi vile,sheraton?
 
Najua ndo maana naweka ulinzi shirikishi...... incase mtu haipendi dental formula yake, na do the needful

ngoja niangalie hii picha vizuri,kuanzia kushoto kwenda kulia:
bishanga,kongosho,Aspirin na mbele kloro.
 
Hapo hata mimi kwa kweli nimefurahi... ngoja niserebuke kwanza..:violin:


kushoto mwenye shati la bluu ni Mwanakijiji ,kulia Faiza Foxy wakisherehekea ushindi wa CHICHIEM Arumeru,teh teh teh!
( picha na mpiga picha wetu)
 
Hahahaaaa Kongosho umenikumbusha Eliza wa Tegeta, wapi yeye?
Bishanga hebu tuambie ukweli unasifiwa ama unajisifia?!
Eliza wa T yuko katika wiki ya 37,muda wowote mtasikia ng'ee ng'eee....usicheze na Bishanga,huwa ninapiga panga moja tu mbuyu chini.
 
Mi nadhani zaidi ni ile style ya kuichora namba 8 mara 1000 kwa ncha ya ulimi pale,sasa lile joto la ulimi plus mtekenyo wake ukijumlisha na idadi ya michoro ya namba 8 ni wazi utatisha tu kaka lazima wadate na wewe..........!
 
Mi nadhani zaidi ni ile style ya kuichora namba 8 mara 1000 kwa ncha ya ulimi pale,sasa lile joto la ulimi plus mtekenyo wake ukijumlisha na idadi ya michoro ya namba 8 ni wazi utatisha tu kaka lazima wadate na wewe..........!
hahahahahaha huyu ndo Kim bana ngoja niku pm ki2 Kitamu,Mx
 
Nadhani utakuwa unatoa compliments ovyo ovyo. Hata kama mwanamke mbaya unamsifu sasa na wao wana return favour
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…