Siri ya Maisha na ghorofa la Kariakoo

Siri ya Maisha na ghorofa la Kariakoo

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
π—¦π—œπ—₯π—œ 𝗬𝗔 π— π—”π—œπ—¦π—›π—”

Maisha yanaweza kubadilika kwa sekunde tu, kutoka kupambania rizki mpaka kupambania uhai yaani hakuna ajuaye nyakati hizi maana kila kitu ni ndani ya dakika tu kinachukua sura mpya.

Kutoka nyumbani salama na Familia inakusubiri urejee na chochote kitu, mpaka sasa Familia inakuombea tu ubaki salama huko chini urejee na uhai pekee, kuna siku utagundua furaha ya Mwanadamu sio Pesa, ni ukweli.

Kutoka kuitwa Boss na Kibaraka wake huko chini mpaka sasa kuanza kutambuliwa nyote kama Wahanga yaani kwasasa nyote mna jina moja na hatma moja pekee katikati ya bonde la mauti na mlima wa Uhai, huenda mnapigana kusaka njia ya kuona jua tena.

Umeona maisha yalivyo? Kuna Mtu alikuwa anatamani awe na mishe tu eneo hilo, unaona maisha yalivyo? Kuna mwingine alikuwa anatamani mwenzake anaenda Mjini, lakini Allah kachora hatma ya kila Mtu. By muddy panchoπŸ˜­πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ’§
IMG-20241116-WA0037.jpg
 
π—¦π—œπ—₯π—œ 𝗬𝗔 π— π—”π—œπ—¦π—›π—”

Maisha yanaweza kubadilika kwa sekunde tu, kutoka kupambania rizki mpaka kupambania uhai yaani hakuna ajuaye nyakati hizi maana kila kitu ni ndani ya dakika tu kinachukua sura mpya.

Kutoka nyumbani salama na Familia inakusubiri urejee na chochote kitu, mpaka sasa Familia inakuombea tu ubaki salama huko chini urejee na uhai pekee, kuna siku utagundua furaha ya Mwanadamu sio Pesa, ni ukweli.

Kutoka kuitwa Boss na Kibaraka wake huko chini mpaka sasa kuanza kutambuliwa nyote kama Wahanga yaani kwasasa nyote mna jina moja na hatma moja pekee katikati ya bonde la mauti na mlima wa Uhai, huenda mnapigana kusaka njia ya kuona jua tena.

Umeona maisha yalivyo? Kuna Mtu alikuwa anatamani awe na mishe tu eneo hilo, unaona maisha yalivyo? Kuna mwingine alikuwa anatamani mwenzake anaenda Mjini, lakini Allah kachora hatma ya kila Mtu. By muddy panchoπŸ˜­πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ’§View attachment 3154279
Huu uzi ni wa FARHAN,yule kijana wa CLOUDS
 
π—¦π—œπ—₯π—œ 𝗬𝗔 π— π—”π—œπ—¦π—›π—”

Maisha yanaweza kubadilika kwa sekunde tu, kutoka kupambania rizki mpaka kupambania uhai yaani hakuna ajuaye nyakati hizi maana kila kitu ni ndani ya dakika tu kinachukua sura mpya.

Kutoka nyumbani salama na Familia inakusubiri urejee na chochote kitu, mpaka sasa Familia inakuombea tu ubaki salama huko chini urejee na uhai pekee, kuna siku utagundua furaha ya Mwanadamu sio Pesa, ni ukweli.

Kutoka kuitwa Boss na Kibaraka wake huko chini mpaka sasa kuanza kutambuliwa nyote kama Wahanga yaani kwasasa nyote mna jina moja na hatma moja pekee katikati ya bonde la mauti na mlima wa Uhai, huenda mnapigana kusaka njia ya kuona jua tena.

Umeona maisha yalivyo? Kuna Mtu alikuwa anatamani awe na mishe tu eneo hilo, unaona maisha yalivyo? Kuna mwingine alikuwa anatamani mwenzake anaenda Mjini, lakini Allah kachora hatma ya kila Mtu. By muddy panchoπŸ˜­πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ’§View attachment 3154279
Aisee hii kitu imeshuka
 
Back
Top Bottom