INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Mkuu ukishakuwa humble utatutulia kwenye sanduku lako huku unangoja maelekezo mengineNa wewe huo u humble wako unaweza ukaenda kuufanyia kaburini?
Hata ukiwa rude, ukisha kufa utatulia tu, kwenye sanduku.Mkuu ukishakuwa humble utatutulia kwenye sanduku lako huku unangoja maelekezo mengine
Yaah hilo la Mungu kapanga hili ama lile, mtu kachomwa moto, kachomwa kisu, au kama ivo kaangukiwa na jengo kabanwa mbavu kafa kwa maumivu makali halafu useme Mungu ndio kapanga iwe hivyo, why??Watakwambia Allah/Mungu ndo alipanga jengo lijengwe chini ya viwango ili liue watu. Hii yote ni kukwepa accountability ili kulindana na kuendeleza uzembe na upigaji.
Mi naamini Mungu ni mwema tu sio mbaya.Vishu Wewe Huamini Katika Qadar ..?
Yaani Ubaya na Wema Unatoka Kwa Mungu?
Yaah hilo la Mungu kapanga hili ama lile, mtu kachomwa moto, kachomwa kisu, au kama ivo kaangukiwa na jengo kabanwa mbavu kafa kwa maumivu makali halafu useme Mungu ndio kapanga iwe hivyo, why??
Sasa faida ya kuwa rude NI Nini na wakati ukifa utatuliaHata ukiwa rude, ukisha kufa utatulia tu, kwenye sanduku.
Na faida ya kuwa humble ni nini, Wakati ukifa utatulia pia?Sasa faida ya kuwa rude NI Nini na wakati ukifa utatulia
Mkuu kuwa humble ndo huko kutuliaNa faida ya kuwa humble ni nini, Wakati ukifa utatulia pia?
Lakini hakukufanyi usife.Mkuu kuwa humble ndo huko kutulia
Ndo hivo mkuuLakini hakukufanyi usife.