Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Ahaaa....nyie msio copy mnabuni vyenu?Historia huwa haibuniwi...Ni maelezo ya kitu kilichotokea.Naona umejisahau unathibitisha.Akili za njiwa haziwezi jisitiri zinapohamishwa ktk fikra mbalimbalia haraka sana.Ndio maana mnapwaya hamjui mmepwaya wapi.Endeleeni buni hadhithi zenu
sidhani hata kama unaelewa tunachokijadili. unaijuaje hiyo historia bila kupitia taratibu zinazofahamika?
nicholas naona umegeuza ushabiki wa simba na yanga kwenye huu mjadala. kwa heri.
 
Uongo wako uishie misikitini na viunga vya kariakoo tu,

Nje ya japo utakosolewa na kufunzwa hata kama hutaki.

Mkuu samahan natoka nje ya uzi wako, Naomba majibu juu Ben ni kwel kaenda ACT au bla bla tu?
 
Wewe punguani hauna unalojua tapeli tu.

Wanamajlis,
Ngoja nikuelezeni kitu.

Hizo picha mbili za Nyerere akiwa Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam 1955
zinatoka Bailey's African Photo Archives, Johannesburg.

Picha hizo zimo kwenye kitabu: "Tanzania The Story of Julius Nyerere."
Mimi nilikutana na Jim Bailey mwaka wa 1994 Dar es Salaam ofisini kwa Ally
Sykes
na yeye ndiye aliyetutambulisha.

Jim Bailey alikuwa anatoka South Africa.

Bailey alikuwa anatafuta mtu wa kuhariri mswada wa hicho kitabu cha Nyerere
na Ally Sykes ndiye akanipendekeza mimi.

Kazi hii niliifanya na kitabu kikachapwa baina ya Drum na Tanzania Publishing
House (TPH).

Mimi ndiye niliyemjulisha Jim Bailey kwa Walter Bgoya Mkurugenzi Mkuu wa TPH.

Kitabu kilipokuwa tayari Bgoya alimpeleka Bailey Msasani kwa Nyerere kwenda
kumkabdihi kitabu kile na picha yao ilitoka ukurasa wa mbele wa Daily News.

Hii ilikuwa mwaka wa 1995.

Bailey ndiye aliekuwa anamiliki gazeti hilo la Drum.

Sasa mimi hizo picha nazijua vizuri pamoja na "caption" zake zote.
Picha hizo zilipigwa mwaka wa 1955 safari ya kwanza ya Nyerere UNO.

Wanamajlis,
Hebu someni maneno haya ya huyu ndugu yetu anayoniambia mie:

"Uongo wako uishie misikitini na viunga vya kariakoo tu,

Nje ya japo utakosolewa na kufunzwa hata kama hutaki."

Sasa hebu semeni.
Kati yetu nani muongo na nani anapewa darsa?

gWZAeYoxmHGmjuKZBiHQ4l_cRzq8kta84POIkYuSzCXO=w446-h569-no


Hii ni "photocopy" ya muswada alonikabidhi Jim Bailey na ipo katika
maktaba yangu pamoja na hati zangu nilizokuwa nafanyia uhariri.

Yapo mengi ikiwa hamchoki kunisoma.
 
Makubwa,Yeriko anamfundisha Mohamed historia! Mtu anayetoa mihadhara vyuo vikuu na mchekeshaji wa JF,wapi na wapi? Kashindwa hoja anatumia karata ya udini kupata sympathy,-pathetic
 
Umeongeza picha katika majibu yako kwa hoja yangu, hivyo ukabadili maana ya jibu na hoja nzima

We mtoto wa juzi unataka Kumfundisha Mzee al allama Mohamed Said Historia?

Hebu tueleze kiwango chako cha elimu kwanza km hukukimbia jumla.

Huna moja wala 11 unapayuka ovyo km Kingwendu.
Haya ndio matatizo ya Kijana wa kiume kufanana na mama yake mzazi, tabia pia zinakuwa za Kike siku zote.
 
Last edited by a moderator:
Makubwa,Yeriko anamfundisha Mohamed historia! Mtu anayetoa mihadhara vyuo vikuu na mchekeshaji wa JF,wapi na wapi? Kashindwa hoja anatumia karata ya udini kupata sympathy,-pathetic

Kivava,
Mimi ningeliweza kulimaliza pambano hili duru ya kwanza.
Nimgefanya hivyo Majlis isingeliweza kuona uzuzu wa huyu kijana.

Nilimpa kamba ndefu ili atuoneshe umbumbu wake na sie tustarehenae.
Nilipoona sasa kajaa tele ndipo nilipokuja na Jim Bailey atumalizie pambano.
 
Uongo wako uishie misikitini na viunga vya kariakoo tu,

Nje ya japo utakosolewa na kufunzwa hata kama hutaki.

Tazama Sura yako hapa! Kingwendu ana kazi bora kuliko wewe!

View attachment 242144

Sasa mpiga ripu km wewe kweli Unaweza kumkosoa na kumfunza Mtoa Lectures ktk Vyuo Vikuu mbalimbali Duniani?

Teh teh teh teh.

Bangi mbaya sana. Tena hasa ukiwa maskini.
 
We mtoto wa juzi unataka Kumfundisha Mzee al allama Mohamed Said Historia?

Hebu tueleze kiwango chako cha elimu kwanza km hukukimbia jumla.

Huna moja wala 11 unapayuka ovyo km Kingwendu.
Haya ndio matatizo ya Kijana wa kiume kufanana na mama yake mzazi, tabia pia zinakuwa za Kike siku zote.

Bill Cosby,
Katika Wazungu ambao mimi nilikutananao na wakaacha kumbukumbu kubwa
katika akili yangu ni huyu Jim Bailey na Peter Colmore.

Ajabu kubwa ya Allah ni kuwa hawa wote walikuwa matajiri kufru na wote
walitajirishwa na Waafrika wakati wa miaka 1950 siku za ukoloni.

Bailey yeye alitajirishwa na Waafrika wa Afrika Kusini na Colmore na Waafrika
wa Kenya.

Bailey alitajirishwa na gazeti la Drum likiuzwa nchi zote za Afrika Kiingereza
kilipozungumzwa - Ghana, Nigeria, Liberia, Sierra Leone na kwengineko na
Colmore alitajirishwa na radio na muziki wa Waafrika wa Kenya.

Wazungu wote hawa wawili wakiwapenda sana Waafrika kama ndugu zao.
Hawa watu mimi wasingenijua sama na baba yangu marehemu Ally Sykes.

Iko siku nitaweka historia za Wazungu hawa hapa barzani In Sha Allah.
 
Bill Cosby,
Katika Wazungu ambao mimi nilikutananao na wakaacha kumbukumbu kubwa
katika akili yangu ni huyu Jim Bailey na Peter Colmore.

Ajabu kubwa ya Allah ni kuwa hawa wote walikuwa matajiri kufru na wote
walitajirishwa na Waafrika wakati wa miaka 1950 siku za ukoloni.

Bailey yeye alitajirishwa na Waafrika wa Afrika Kusini na Colmore na Waafrika
wa Kenya.

Bailey alitajirishwa na gazeti la Drum likiuzwa nchi zote za Afrika Kiingereza
kilipozungumzwa - Ghana, Nigeria, Liberia, Sierra Leone na kwengineko na
Colmore alitajirishwa na radio na muziki wa Waafrika wa Kenya.

Wazungu wote hawa wawili wakiwapenda sana Waafrika kama ndugu zao.
Hawa watu mimi wasingenijua sama na baba yangu marehemu Ally Sykes.

Iko siku nitaweka historia za Wazungu hawa hapa barzani In Sha Allah.

Nakusoma kwa kituo Mzee Mohamed.
Elimu unayotoa hapa Jukwaani Tulitakiwa Tuilipie lkn Kwa Huruma zako unaitoa Bure.
Tunakushkuru Mzee kwa Kutupatia Darasa Murua kabisa.

Hawa watoto vikojozi kina Yericko Nyerere wasikubughudhi kabisa na maneno yao ya Mitaani.
Ktk jamii yyt huwezi kukosa watoto wa Haramu unfortunately hapa Jf wapo wengi tu. Hawajijui hawajitambui lkn kaa ukitambua DARASA LAKO Linasomwa ULIMWENGUNI KOTE JF Ifikapo.

Ktk pita zangu Nimekuta Vijana wa Kitanzania weekend moja Hapa Columbus, OHIO Wamekaa wanatazama Moja ya Lectures zako Kuhusu Historia Ya Uhuru.

Na Kwa pamoja tunasema Ahsanta Mwalimu.
 
Last edited by a moderator:
Wanamajlis,
Ngoja nikuelezeni kitu.

Hizo picha mbili za Nyerere akiwa Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam 1955
zinatoka Bailey's African Photo Archives, Johannesburg.

Picha hizo zimo kwenye kitabu: "Tanzania The Story of Julius Nyerere."
Mimi nilikutana na Jim Bailey mwaka wa 1994 Dar es Salaam ofisini kwa Ally
Sykes
na yeye ndiye aliyetutambulisha.

Jim Bailey alikuwa anatoka South Africa.

Bailey alikuwa anatafuta mtu wa kuhariri mswada wa hicho kitabu cha Nyerere
na Ally Sykes ndiye akanipendekeza mimi.

Kazi hii niliifanya na kitabu kikachapwa baina ya Drum na Tanzania Publishing
House (TPH).

Mimi ndiye niliyemjulisha Jim Bailey kwa Walter Bgoya Mkurugenzi Mkuu wa TPH.

Kitabu kilipokuwa tayari Bgoya alimpeleka Bailey Msasani kwa Nyerere kwenda
kumkabdihi kitabu kile na picha yao ilitoka ukurasa wa mbele wa Daily News.

Hii ilikuwa mwaka wa 1995.

Bailey ndiye aliekuwa anamiliki gazeti hilo la Drum.

Sasa mimi hizo picha nazijua vizuri pamoja na "caption" zake zote.
Picha hizo zilipigwa mwaka wa 1955 safari ya kwanza ya Nyerere UNO.

Wanamajlis,
Hebu someni maneno haya ya huyu ndugu yetu anayoniambia mie:

"Uongo wako uishie misikitini na viunga vya kariakoo tu,

Nje ya japo utakosolewa na kufunzwa hata kama hutaki."

Sasa hebu semeni.
Kati yetu nani muongo na nani anapewa darsa?

gWZAeYoxmHGmjuKZBiHQ4l_cRzq8kta84POIkYuSzCXO=w446-h569-no


Hii ni "photocopy" ya muswada alonikabidhi Jim Bailey na ipo katika
maktaba yangu pamoja na hati zangu nilizokuwa nafanyia uhariri.

Yapo mengi ikiwa hamchoki kunisoma.

Mohamed Said,

Usione kinyongo kufunzwa usiyoyajua, sindano ya milgramu moja hushona gunia la tani moja.

Hoja ya msingi nikuwa picha zote ulizonakili kwenye kitabu ikiwemo ya Julius Nyerere na wanawake wa TANU ni za 1955 katika safari ya KWANZA kama ulivyoainisha, hoja ya msingi ni kuwa safari hii iligharamiwa na Kanisa katoliki.

Hoja ya pili nikuwa picha ya mwalimu na makomred wa TANU wakiwa uwanja wa ndege na ile ya ukumbini wakipata vinywajo ni za mwaka 1957 katika safari ya pili ya Julius Nyerere kwenda UNO.

Kipi bado unahamisha magoli mzee?

Kubali kufunzwa na kukosolewa ili uwe na heshima duniani.
 
Last edited by a moderator:
kupanua mjadala ni vema pia tukasoma kitabu cha Godfrey Mwakikagile
Nyerere and Africa: End of an Era
katika kitabu hichi pages 82 - 100Godfrey anatambua siasa za Kariakoo , na katika moja ya maandishi yake anaandika hivi kuhusu Bibi Titi , Nyerere na Uhuru struggle..

”Alsmost always , the rallies at Mnazi mmoja were addresed by two main speakers : Bibi Titi and Nyerere, both highly inspirational speakers, some of the best the party (TANU) ever had.
It was because of such role inspired her to say “Nyerere and I gave birth to TANU” ….SHE WAS BEFORE AND AFTER HER death , honoured with the title “Heroine of Tanganyika’s Independence.
Also Godfrey speak highly of Sheikh Takadir, mwenyekiti wa Wazee waTANU ambaye mara zote akitangulia kuongea kabla ya Nyerere
Pia mwandishi anaeleza juu ya uvaaji kaptura ya mwalimu na ni Dossa Aziz ndie alimwambia Nyerere kuwa si heshima kwa wazee wanaomzunguka “wa kariakoo” kuvaa kibukta na sio taratibu za waislam wenyeji wake hapo kariakoo….eneo la kujidai la brother Mohammed Said
Kuna mengi yameandikwa kuhusu TANU ambayo kwa karibu yanafana na historia inayo elezwa na Mohammed Said katika mijadala yake.
Mwandishi ni mhariri wa zamani wa magazeti ya serikali , na rafiki wa Benjamin Mkapa
 
Last edited by a moderator:
kupanua mjadala ni vema pia tukasoma kitabu cha Godfrey Mwakikagile
Nyerere and Africa: End of an Era
katika kitabu hichi pages 82 - 100Godfrey anatambua siasa za Kariakoo , na katika moja ya maandishi yake anaandika hivi kuhusu Bibi Titi , Nyerere na Uhuru struggle..

”Alsmost always , the rallies at Mnazi mmoja were addresed by two main speakers : Bibi Titi and Nyerere, both highly inspirational speakers, some of the best the party (TANU) ever had.
It was because of such role inspired her to say “Nyerere and I gave birth to TANU” ….SHE WAS BEFORE AND AFTER HER death , honoured with the title “Heroine of Tanganyika’s Independence.
Also Godfrey speak highly of Sheikh Takadir, mwenyekiti wa Wazee waTANU ambaye mara zote akitangulia kuongea kabla ya Nyerere
Pia mwandishi anaeleza juu ya uvaaji kaptura ya mwalimu na ni Dossa Aziz ndie alimwambia Nyerere kuwa si heshima kwa wazee wanaomzunguka “wa kariakoo” kuvaa kibukta na sio taratibu za waislam wenyeji wake hapo kariakoo….eneo la kujidai la brother Mohammed Said
Kuna mengi yameandikwa kuhusu TANU ambayo kwa karibu yanafana na historia inayo elezwa na Mohammed Said katika mijadala yake.
Mwandishi ni mhariri wa zamani wa magazeti ya serikali , na rafiki wa Benjamin Mkapa

Mwakigagile katika kitabu hicho moja ya vitabu nilivyovisoma, ukimsoma jws undani utaona utofauti mkubwa wa historia ya TANU na ile ya Mohamed Said.

Mwakigagile hajaweke uislamu kama turufu ya uhuru kama afanyavyo Mohamed na wala hajaifanya historia ya Tanganyika kuanzi Kariakoo na kuishia kariakoo. Alichofanya ni kutambua mchango wa wazee wale tu, sio kuteka historia
 
Last edited by a moderator:
Mwakigagile katika kitabu hicho moja ya vitabu nilivyovisoma, ukimsoma jws undani utaona utofauti mkubwa wa historia ya TANU na ile ya Mohamed Said.

Mwakigagile hajaweke uislamu kama turufu ya uhuru kama afanyavyo Mohamed na wala hajaifanya historia ya Tanganyika kuanzi Kariakoo na kuishia kariakoo. Alichofanya ni kutambua mchango wa wazee wale tu, sio kuteka historia

Hata iwe vipi ameongea kuhusu role ya waislam na pia ni historia tofauti na ile mulozea mashule ilotungwa kivukoni na ambayo tunalazimishwa kuikubali.
Waandishi wote wawili wanaongea kuhusu tanu na role ya kariakoo ingawa kwenye uwanda tofauti
 
Last edited by a moderator:
Hata iwe vipi ameongea kuhusu role ya waislam na pia ni historia tofauti na ile mulozea mashule ilotungwa kivukoni na ambayo tunalazimishwa kuikubali.
Waandishi wote wawili wanaongea kuhusu tanu na role ya kariakoo ingawa kwenye uwanda tofauti

Crabat na Wanamajlis,
Kwanza ningependa watu wamjue Mwakigagile.
Huyu ni msomi bingwa wa kuheshimika sana duniani.

Atakae habari zake na aingie hapa:
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/37621-jf-search-where-is-godfrey-mwakikagile.html

images

Godrey Mwakigagile

Rafiki zangu wengi waliopo nje walipomsoma waliniandikia na kusema kuwa
kanikopi.

Mwakigagile aliathirika sana na uandishi wangu na yeye akapita kule nilikopita
mie kabla yake na katika kitabu chake hicho aliweka sura nzima akimzungumza
Peter Colmore akidhani mwandishi alikuwa Bwana Ally Sykes.

Hakika jina la Bwana Ally liko pale lakini mwandishi alikuwa Mohamed Said.
Siku za nyuma hapa barzani tulipatapo kujadili habari hii.
 
Back
Top Bottom