Siri ya mizunguko ya asili, nishati, mtetemo na masafa ya ulimwengu

Siri ya mizunguko ya asili, nishati, mtetemo na masafa ya ulimwengu

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
img_20230225_110821-jpg.3109652

Je, umewahi jiuliza imekuwaje vitu tofauti vya asili vinakuwa na umbo au muundo unao fanana? Sababu ni nini? Je Asili imetokea kama coincidence? Twende sambamba...

Picha uzionazo hapo juu zinaonyesha miundo ya mviringo na mifumo inayopatikana katika asili, kuanzia maganda ya konokono na galaksi hadi alama za vidole na ukuaji wa mimea na viumbe. Miundo hii inaweza kufasiriwa kama nyenzo za nishati ya msingi, mtetemo, na masafa yanayoongoza maisha na ulimwengu wote.
(Energy, Frequency and vibration)

- Nishati (Energy )
Kila kitu katika ulimwengu kinaundwa na nishati au chanzo, Mfano wa mviringo huo unaashiria mtiririko wa kudumu wa nguvu za uhai au "nishati ya ulimwengu," kutoka kiwango kidogo (alama za vidole) hadi kiwango kikubwa (galaksi). Hii Inawakilisha uumbaji mmoja na upanuzi, na asili ya mzunguko wa maisha. Ili vitu vifanane, lazima chanzo cha nishati kiwe kimoja.

- Mtetemo (Vibration)
Mtetemo unahusu kasi ambayo nishati husafiri. Kila kiumbe hai na kisicho hai kina mtetemo wake wa kipekee. Mizunguko inayopatikana mara kwa mara katika asili inashiria upatanisho na mtetemo wa msingi wa ulimwengu, ikionesha kwamba vitu vyote vimeunganishwa katika mtetemo mmoja.

- Masafa (Frequency)
Kama kipimo cha mtetemo, masafa yanaweza kuonekana katika asili ya kurudiarudia na ulinganifu, Iwe ni ukuaji wa mmea, maendeleo ya kiini husika, au uundaji wa kiasili, kila kitu kinaathiriwa na mitetemeko ya kimsingi au masafa ambayo yanaumba mfumo mmoja wa maisha.

Katika engo ya kiroho (spirituality) picha hizi zinawakilisha jiometri takatifu ya maisha, zikionyesha jinsi nishati, mtetemo, na masafa yanavyojitokeza katika maumbo yanayo fanana na kuonyesha umoja wa uumbaji. Hii ni ishara kwamba kazi ya Uumbaji imefanywa na Mungu mmoja, kwa kipimo kimoja chenye usahihi na utakatifu.


“If you want to find the secrets of the universe, think in terms of energy, frequency, and vibration."
- Nikola Tesla



Picha zenye vitu na maumbo mengine ambayo pia yana Energy, Vibration na frequency Moja.👇

Screenshot_20240928-174525.png

Screenshot_20240928-181044.png

Pia soma: The flow of creative Energy, Aura and Emotions
 
Neno Mungu lipo kwenye misingi ya kiimani zaidi na personality ndio maana utasikia Mungu akasema........
Dini nyingi zinafundisha kua Limited kwenye maeneo tofauti...

Mimi ni Free thinker, Katika Meditation zangu hua ninatafakari jinsi mimea inaota inakua, jinsi dunia inaelea angani, mfumo wa mwili wa binadamu, DNA za viumbe, majira yanayokwenda kwa usahihi, Hua nafikiri ipo nguvu ambayo ilifanya hayo ...

Kuhusu sheria , Binadamu hatuko limited, fanya unachoweza ila in General kila unachikitenda hakikisha unaamini unatenda kitu sahihi usitegemee facts zilizoandikwa na binadamu kama
wewe ...

Ndio mana hii nguvu iliyotuweka duniani imetupa akili, ili tuwe Huru ..


Sijaona jina lingine lakuipa hii Nguvu, Huenda "Mungu" inawakilisha kitu fulani special, ningeweza kutengeneza jina la hiyo nguvu kwa akili zangu mwenyewe, ila sababu hua napenda kueleweka kirahisi hiyo nguvu naiita "MUNGU"..


Hakuna haja ya kuiomba sababu kuna kitu kinaitwa "Karma", kutenda kwa usawa au nje na usawa kutakurudia mwenyewe..

Mwisho mimi naamini sala ni matendo yaani "SELF DISCIPLINE "Kufanya jambo sahihi, sehemu sahihi, wakati sahihi, kwa usahihi, bila kusukumwa na mtu/kitu ila akili yako mwenyewe..

Ukifanya hivyo nature [Kama inavyoitwa Mungu] itakuvutia mambo
mazuri zaidi ...

THATS ALL!!
 
Dini nyingi zinafundisha kua Limited kwenye maeneo tofauti...

Mimi ni Free thinker, Katika Meditation zangu hua ninatafakari jinsi mimea inaota inakua, jinsi dunia inaelea angani, mfumo wa mwili wa binadamu, DNA za viumbe, majira yanayokwenda kwa usahihi, Hua nafikiri ipo nguvu ambayo ilifanya hayo ...

Kuhusu sheria , Binadamu hatuko limited, fanya unachoweza ila in General kila unachikitenda hakikisha unaamini unatenda kitu sahihi usitegemee facts zilizoandikwa na binadamu kama
wewe ...

Ndio mana hii nguvu iliyotuweka duniani imetupa akili, ili tuwe Huru ..


Sijaona jina lingine lakuipa hii Nguvu, Huenda "Mungu" inawakilisha kitu fulani special, ningeweza kutengeneza jina la hiyo nguvu kwa akili zangu mwenyewe, ila sababu hua napenda kueleweka kirahisi hiyo nguvu naiita "MUNGU"..


Hakuna haja ya kuiomba sababu kuna kitu kinaitwa "Karma", kutenda kwa usawa au nje na usawa kutakurudia mwenyewe..

Mwisho mimi naamini sala ni matendo yaani "SELF DISCIPLINE "Kufanya jambo sahihi, sehemu sahihi, wakati sahihi, kwa usahihi, bila kusukumwa na mtu/kitu ila akili yako mwenyewe..

Ukifanya hivyo nature [Kama inavyoitwa Mungu] itakuvutia mambo
mazuri zaidi ...

THATS ALL!!
Meditation 👏
 
Mfano mzuri ni Nikola Tesla, tafiti zake nyingi zilifichwa na kupotezwa kwani zingeleta mapinduzi makubwa kwenye teknolojia, na wao hawakutaka iwe hivyo.

Mfano free Energy, au Frequency healing, Kama zingekuwepo mpaka leo basi biashara ya umeme isinge kuwepo, pia biashara ya madawa tiba pia isinge kuwepo.
 
Back
Top Bottom