Siri ya mizunguko ya asili, nishati, mtetemo na masafa ya ulimwengu

Maada nzuri sana
 
Labda mimi ndio ningepaswa kukuuliza ilikuaje ukawa theist wakati kila mtu alizaliwa ni atheist?
Common way ni mtu kuzaliwa kakuta mfumo na anaendeleza lakini kuna hatua unafika ukomavu wa akili unaweza changanua mwenyewe kama unafata dini sahihi ndo mana watu wanabadilisha. Je ulibadilisha au ulikuta?

Mfano uko peke yako jangwani umetembea kwa umbali mrefu sana bila kuona mtu ghafla unaona coin au chupa kwenye mchanga, fikra ya kwanza utasema mtu aliiacha hapo mana unajua ni kitu hakiwezi kujitengeneza kamwe wala kujifikisha apo.

Kwa maoni yako uliumbwaje mkuu mana kila kilichopo kina muumbaji (Creator) si ndio, yani genesis ya binadam nn.
 
Kumbe na Huyo Mungu nae ana muumbaji?
 
Hii ntaielezea kihistoria ukichunguza historia ya mataifa yote kuna stage kote zinafanana yaan hapa tulipo sisi wakenya wqshapita na namna tutajichomoa ni ile ile na iko hivo kila mahali
 
Hii ntaielezea kihistoria ukichunguza historia ya mataifa yote kuna stage kote zinafanana yaan hapa tulipo sisi wakenya wqshapita na namna tutajichomoa ni ile ile na iko hivo kila mahali
Vitu na mambo mengi sana yanafanana, hii ni ishara kwamba sisi wote ni wamoja, chanzo kimoja na tuna muelekeo mmoja.
 
Sherehe au Tafrija ya kumpokea Tena Boi yai uraiani itafanyika wapi jioni ya Leo?
 
Labda mimi ndio ningepaswa kukuuliza ilikuaje ukawa theist wakati kila mtu alizaliwa ni atheist?
Hakuna mtu atheist duniani - watu mnajiita hivo mkifanya reference ya ubishi kwa uwepo wa Mungu anayesemwa sana au anayetambulika sana - huyu Mungu wa Wakristo, Waislam n.k
Lkn kwa ndani kuna vitu mnaviamini - hata kuamini katika nothing - kwamba nothing inapush kila kitu tayari ni imani - Hakuna mwanadamu ambaye haamini katika -u - superbeing wowote - HAYUPO na ndo maana hata kabla ya Wazungu na Waarabu kutuletea dini za kisasa au utaratibu wa kisasa wa kumuabudu Mungu...mababu tayari walikuwa na utaratibu wao na imani zao kuhusu hiyo nguvu..
Thus wote tunatambua kuna kitu kina - nguvu kipo - tunabishana ni kitu gani au nguvu gani tu hapo ndo hatuelewani: Mwanadamu na curiosity yake hawezi kutulia kamwe - hata huo ubishi wa atheism ni katika kutafuta ukweli.
 
Kwamba ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…