mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Uwekezaji unaofanyika kwenye sekta ya ugegedaji ingewekwa kwenye sekta ya viwanda Tanzania tungeshafanya mapinduzi ya viwanda🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii kitu usikutane nayo, ukimpaka demu kule kunakuwa na kaubaridi flani anakasikia utachakata mpaka aone mbingu yote inamuelemea,Hivi mpaka sahivi Zero IQ mpaka leo hii hajakutana na hii kitu???
[emoji16][emoji16][mention]Zero IQ [/mention]
Kaka tunaomba muongozo
Naomba kujuzwa, kama hupakwa huko ni kwann kuna mdau hapo juu kadai huleta fangasi za midomo. Hizo fungus huja vipi?Hizo pipi zinapakwa kwenye mikuyenge [emoji848]
Kuna hii hapa, unatumia drops 3 tatu kunako...hautaisahau hiyo siku☺️I wonder ikipita hii tutapakana nini kingine.
Afu bora mtaimbo upo nje utapakwa soap soap.
Sisi sasa na mapango yetu *****.
OBJECTION!! Muheshimiwa jaji. Swali limeulizwa kwa upande wa MEMkuu hii kitu usikutane nayo, ukimpaka demu kule kunakuwa na kaubaridi flani anakasikia utachakata mpaka aone mbingu yote inamuelemea,
Dont do that kama nguvu zako za kuunga unga mpaka Vumbi la kongo utaaibika mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zero IQ kama wanawake wote aliowahi kupita nao wakiamua kumchangia chupi moja moja tu, anajaza makontena ya 40Feet kadhaa, akiziuza anaweza akanunua hata nyumba Mwananyamala au hata akamiliki Harrier yake.[mention]Zero IQ [/mention]
Kaka tunaomba muongozo
Endelea nayo mkuu mi sina kazi nayo asanteee.Kuna hii hapa, unatumia drops 3 tatu kunako...hautaisahau hiyo siku☺️ View attachment 1951309
Imagine umebeba kopo la lita moja na nusu lile la Maji ya Afya au Canadia au ata kidumu cha lita 5 kile cha Sunola..[emoji1787]Changamoto za asali
1.Bei juu
2.Upatikanaji sio kila sehemu
3.ubebaji wake ni mzigo
Au wapake Wax?Mmmh mshana ni wewe mkuu??
Daaah kuna watu huwez wadhania wanafanya huu ujinga wa kupakana asali na kunyonyana.......
Sawa bro shikamoo samahan lkn
Atakunya. Shauri yako we mjaze wazimu akaijaribu hio kitu. JF ukisikiliza ushauri wa wadau wanaweza kukupeleka kuzimu kabla hata mungu hajaku hitaji.Kuna hii hapa, unatumia drops 3 tatu kunako...hautaisahau hiyo siku[emoji3526] View attachment 1951309
Ndio ile kauli ya peleka moto🔥🔥🔥...ndio moto wenyewe huo🤣Atakunya. Shauri yako we mjaze wazimu akaijaribu hio kitu.
Nliwahi kuwekewa kwenye msosi, nlimeza tonge kama nimemeza kaa la moto.
Kaanzia K/koo asubuh kapeleka mzigo Mbagala then kaunga BunjuOgeshaneni kwanza kabla hamjaanza kunusana mkuu, mtu katoka mabagala na daladala kaenda Tegeta huko kwa babe then kafika tu na mijasho yake unaanza kumparamia unategemea usiskie harufu mbaya?
Kunusa Papa achana nako kabisa ni mateso mateso ni huzuni.....[emoji23][emoji23] ya nani nini, mimi nanusa mikuyenge
Wewe mpyaaaa...!!! a.k.a .....Sawa muasherati