Siri ya pipi kifua kwenye mapenzi ya unyonyaji

Uwekezaji unaofanyika kwenye sekta ya ugegedaji ingewekwa kwenye sekta ya viwanda Tanzania tungeshafanya mapinduzi ya viwanda🤣🤣
 
I wonder ikipita hii tutapakana nini kingine.

Afu bora mtaimbo upo nje utapakwa soap soap.

Sisi sasa na mapango yetu *****.
 
I wonder ikipita hii tutapakana nini kingine.

Afu bora mtaimbo upo nje utapakwa soap soap.

Sisi sasa na mapango yetu *****.
Kuna hii hapa, unatumia drops 3 tatu kunako...hautaisahau hiyo siku☺️
 
[mention]Zero IQ [/mention]
Kaka tunaomba muongozo
Zero IQ kama wanawake wote aliowahi kupita nao wakiamua kumchangia chupi moja moja tu, anajaza makontena ya 40Feet kadhaa, akiziuza anaweza akanunua hata nyumba Mwananyamala au hata akamiliki Harrier yake.

Mwaka jana ashahonga mtaji wa kibanda cha chips cha familia. Nusura familia iadhirike.
 
Changamoto za asali

1.Bei juu
2.Upatikanaji sio kila sehemu
3.ubebaji wake ni mzigo
Imagine umebeba kopo la lita moja na nusu lile la Maji ya Afya au Canadia au ata kidumu cha lita 5 kile cha Sunola..[emoji1787]
 
Mmmh mshana ni wewe mkuu??
Daaah kuna watu huwez wadhania wanafanya huu ujinga wa kupakana asali na kunyonyana.......
Sawa bro shikamoo samahan lkn
Au wapake Wax?
 
Kuna hii hapa, unatumia drops 3 tatu kunako...hautaisahau hiyo siku[emoji3526] View attachment 1951309
Atakunya. Shauri yako we mjaze wazimu akaijaribu hio kitu. JF ukisikiliza ushauri wa wadau wanaweza kukupeleka kuzimu kabla hata mungu hajaku hitaji.

Nliwahi kuwekewa kwenye msosi, nlimeza tonge kama nimemeza kaa la moto. Walai tonge lilikua linashuka nalisikia mpaka kwenye utumbo limechemka kweli kweli mamamae.
 
Miminia apo Super Glue. Au patex you will Thank me leiter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…