Teh teh! bao saba? Mmmh! na kesho tena?
sio lazima saba mamaaa unaweza piga mawili lakini afadhali aliyepiga saba.
Utasikia tu mtu analia Oooh my ssup (anza kusoma kwa kinyume) is hot and wet.
nakulalamika taa taa taa taa taa unaulizwa nini taa imefanyaje? unabaki tuu taa taa taa taa.
unaulizwa tena nizime unabakii tuu taa taa taa mara inazimwa unabaki tuu taa taa taa jamaa anawasha unaendelea tu taa taa taa. mwisho kabisa ndio unaweza kumalizia maneno kwa kusema taaaaaaa mu
halafu unalala huwezi hata inua mkono tena wala kiungo chochote cha mwili hata ukliambiwa uende raundi ya tatu huwezi sasa saba utafika mamaaa?
ACHANA NA SUPU YA PWEZA NA HIYO NA KESHO YAKE UKIKUMBUKIA UNATAKA TENA.
MI HUWA NAISHIA KUCHEKA TUU MAANA UNAKUTA MTU ANALIA MPAKA UNAMWONEA HURUMA SASA KAMA ANAUMIA MBONA KESHO YAKE YEYE NDIO WA KWANZA KUOMBA MUENDE KUNYWA SUPU YA PWEZA ILI UMCHANGANYIE NA DAWA KIDOGO.
TAADHARI KWA WANAUME UKINYWA SUPU YA PWEZA USINYWE POMBE NYINGI UTAISHIA KULALA TU KWA UCHOVU WA POMBE PIGA KAMA KA KANYAGI KADOGO NUSU CHUPA, BAKIZA NUSU CHUPU WEKA CHINI YA KITANDA INGIA UANZANI CHEZA GEMU ZAKO MBILI AU TATU BAADA YA HAPO LALA SAA KUMI AU KUMI NA MOJA ALFAJIRI AMKA KABLA KITU CHOCHOTE PIGA KALE KA NUSU KONYAGI KALICHOBAKIA MWAMSHE SHEMEGI YETU HALAFU UJE ULETE RIPOTI NI NINI KILICHOTOKEA.
PIA MSIASAHAU KULA VYAKULA KAMA UGALI AMBAO HAUJAKOBOLEWA MWANAUME USIENDE HOTELINI ETI UNAAGIZA CHIPS HIVYO NI VYAKULA VYA WATOTO WA SHULE ZA KATA MWANUME UNATAKIWA ULE MLO UNAOELEWEKA.
PIA KUNA KIAZI KULE KWETU TANAATIA VIAZI VIKUU UTAFUTE UMPE MAMA AKUCHOMEE KWENYE MKAA ULE KIKIWA KIMECHOMWA. UHAKIKISHE WALAU UNAPATA ILE MARA MOJA KWA MWEZI MAANA NIKIKUAMBIA KWA WIKI ITAKUGHARIMU SANA.
MSISAHAU KULA NGANO: CHUKUA NGANO UNAIPIKA KAMA MAKANDE YAANI UNAIPIKA NA MAHARAGWE HII INASAIDI SANA HATA KWA WATOTO KUWAJENGA MIILI NA AKILI.
MATUNDA KAMA TITIKI MAJI.
HAKIKISHA UNACHEKI AFYA YAKO USIRUHUSU HALI YA KISUKARI YA KUSHUKA NA KUPANDA KWENYE MWILI I-CONTROL KAMA UNATATIZO LA SUKARI INACHANGIA SANA UNAWEZA KUNYWA SUPU YA PWEZA NA USIONE UFANISI WAKE PIA KAMA UNAWEZA PATA ASALI NA MDALASINI TUMIA NI NZURI SANA.
IKO DAWA MOJA YA MITI SHAMBA NDIO HUWA TUNAIWEKA KWENYE SUPU HASWA HIYO SUPU YA PWEZA AU KWENYE CHAI YA RANGI NA PIA KWENYE POMBE HIIYO MAMA MAJI ATAYAITA MMA.
HIVYO VYAKULA VYA KISASA VINACHANGIA SANA KUSHUSHA UFANISI PIA JITAHIDI USIWE UNAPATA MA STRESS.
HALAFU USIFANYE MAPENZI NA WANAWAKE WENGI KUMWA NA MMENZI MMOJA WENGINE SIKU HIZI NI WANGA UNAFANYA MAPENZI NA MWANAMKE UNASHANGAA NGUVU ZAKO ZOTE KWISHNEY UNABAKI KUTOA POVU TU.
PIA MSISAHAU KUFANYA MAZOEZI YA MWILI KUUWEKA MWILI FITI