Siri ya utajiri wa Majizzo

Tafuta Cha kwako....ukishajua siri za utajiri wake alafu utafanya nini?!

Role Model wako Mange Kimambi kishakwambia anauza Unga na wewe unavyomuamini Mange umeamua kukubaliana nae sasa unatuuliza maswali ya kutuchora ili iweje?!
Kumbe mange naye ana watu wanamuita roke modal
 
Katika hili la majey kumiliki endapo mngemjua mtu anaeitwa Cloud Ciza ndo mngeelewa na mpk kisa cha majey ambae jina lake halisi ni Rashid nani cjui ila akajiita Francis ciza ila poa tu acha mambo yaende, na wala hakuna biashara ya unga
 
Vizuri Sana, umeleta uchambuzi nzuri Sana.
 
Aisee hivi kumbe imekuwa miaka sasa? Duh......ila kama huyo Abubakar Sadiq amepwaya sana siku hizi sijui kulizika yaani hana ubunifu mpya.....Mul B sijui yuko wapi huyu jamaa alikuwa akijiita mzee wa Pamba kali!![emoji3]
 
Acha uongo,wana tangazo moja tu la Lake oil ndio linasikika mara kwa mara. Haya matangazo ya Tigo,Voda,Airtel yanasikika mara chache sana na zaidi ya hapo hawana tangazo kutoka kampuni nyingine.
Mkuu mbona kuna la Coca cola!
Pia lipo la Total.
Lipo na la CRDB.
 
Hata hilo la Ubunifu pia watu wanatoa povu!
 
Bongo kunawatu wanautumia vibaya ubongo,kwakuufanyisha umbea tu! Sio fikra chanya nashangaa sana napoona MTU unaleta Uzi kwakujihamin kaleta kitu kumbe upuhuz.njoo na ushaidi tupate concept
 
Mtakufa maskini sababu ya uchanga wa fikra zenu na kutoamini katika mafanikio because ignorance is your bliss uhoji utajiri wa mtu who are u after all?? Mumeo yule mpk uwe na doubt nae kuwa one day he will put you into trouble? Be positive always
 
Anajua alijipanga vipi? Maybe alikua na fund ya Ku establish both radio and TV station
 
mbona mange alishasema biashara ya huyo jamaa ni unga
 
Na wameambiwa na mengi boss wao mwezi wa kwanza mshajara utachelewa
 
Mambo yasiyokuhathiri chochote hachana nayo tumia mda wako kujitadhimini, na namna ya kujiondoa katika ufukara ulionao. Hacha kuwa addict wa umbea wa mitandaoni. Yahani make kimambi ndio chanzo chako ? Idiot.
 
Endelea kufuatilia maisha ya wenzako!! Shame on you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…