Ina maana yule Mama wa Maisha Club ni mama yake/ndugu wa damu kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana yule Mama wa Maisha Club ni mama yake/ndugu wa damu kabisa?
Kumbe yule Mama wa Maisha ni mamake sio?jambo ambalo watu hawalijui ni kwamba majizo ametokea kwenye familia ya kishua baba yao alikua anajiweza na hata ukiangalia familia yao wako vizur na hii investment ya EFM ukiangalia wamiliki wake karibia wote ni ndugu,watu wamesahau kuwa wakina majizo ndo walikua wakimiliki ile club maarufu kule masaki ya maisha club,ndugu yke anayemfuata ndo alikua akiisimamia akishirikiana na mama mmoja nimemsahau jina kwahiyo ukwasi wake wa pesa sio wa u dj ni familia iko vizur
Kumiliki redio mtaji wake si milioni 50 tu,,? Wala sio pesa ndefu kivileKutoka kuwa Dj,hadi kuwa mmiliki wa media. Kuna kitu cha ziada alikuwa anakifanya wakati wa U dj kinyume na hapo maswali magumu yanamuhusu.
Pesa ndogo sana,,Kwani kusajili kituo cha redio na mitambo yote bei gani mpaka umfikirie hivyo?
Wana-JF mnayajua hata msiyoyajua matokeo yake mnayajua mambo mengi mno!!jambo ambalo watu hawalijui ni kwamba majizo ametokea kwenye familia ya kishua baba yao alikua anajiweza na hata ukiangalia familia yao wako vizur na hii investment ya EFM ukiangalia wamiliki wake karibia wote ni ndugu,watu wamesahau kuwa wakina majizo ndo walikua wakimiliki ile club maarufu kule masaki ya maisha club,ndugu yke anayemfuata ndo alikua akiisimamia akishirikiana na mama mmoja nimemsahau jina kwahiyo ukwasi wake wa pesa sio wa u dj ni familia iko vizur
Mnalishana matango pori tu hapo!!Ina maana yule Mama wa Maisha Club ni mama yake/ndugu wa damu kabisa?
Kumbe hajatoka ya kishua?Wana-JF mnayajua hata msiyoyajua matokeo yake mnayajua mambo mengi mno!!
Eti ametokea familia ya kishua, dah!!
Not even close... in short, he's from peasant family!Kumbe hajatoka ya kishua?
Bei ya kujenga mnara hiooKumiliki redio mtaji wake si milioni 50 tu,,? Wala sio pesa ndefu kivile
Duh.. kwahiyo inahitajika minara mingapi ili matangazo yaruke vizuri?Bei ya kujenga mnara hioo
Hapana alikua mshirika kibiasharaKumbe yule Mama wa Maisha ni mamake sio?
Mmoja tu. Huku Mbeya kuna redio zaidi ya 30 na zote zinakimbiza jiji zima na matangazo ya kitoshaDuh.. kwahiyo inahitajika minara mingapi ili matangazo yaruke vizuri?