Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure.....Itafahamika. Ila serikal ifikie mahali iache kuishi kwa Ku seek media attention. List ya hawa manguli IPO ikulu
Sure mkuuSure.....
Naona wameanza kulieka sawa hila LA midia maana wafatwa kimya......
Labda makonda anawajua watu Ila alitaka public support kwanza maana hii vita ni ngumu peke yako kimya inakua ngumu zaid
Hilo jina sweya sio geni kabisa aiseKiongozi umetisha,umepita humo humo
Aisee,Mbowe kazaliwa tajiri, alikuwa anadrive gari yake mwenyewe kwenda shule.
Yaani mkuu acha tyu watu wanajitoa ufahamuAliyewaambia kuwa majizo ni tajiri mkubwa kiasi hicho ni nani?? Na ke nani kawaambia kuwa majizo ndiye mmiliki pekee wa E-FM??
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Na usilolijua litakusumbua. Kweli nimeamini
Vp updates za vanessa na mwenzake umekuajeYule mwingine yupi mkuu. Maana Jana walienda Tunda na vanesa?
[emoji23] nipe no zake nimuulize mkuuLulu Ana majibu sa hihi mlio karibu fanyeni kazi hiyo
Naskia ni kweli kakamatwa.Madai ya majizo kukamtwa yana ukweli wowote jaman?
Mmmhhhh endelea kumteteaKwa wanao sikiliza E-fm watashangaa sana tena ukisema ina matangazo ya kuokoteza....
Jamani tuache chuki zisizo na tija E-FM kwa sasa ina sikika Dar tuu lakini ni moja ya radio yenye matangazo mengi sana....kuwa mkweli... hawa jamaa wana jitangaza sana tena sana hasa Dares-salaam... wamejitangaza na wanasikilizwa sana tena sana...
Mwaka huuu anapata frequence nyingine zaidi ya tisa tanzania.... tuache chuki lakini kama tuna ushahidi mtu ana uza unga tuweke hadharani sio kuweka visingizio kwakuwa kaanzisha radio basi anauza unga....vijana kama kuuza unga na kufanikiwa ni rahisi kiasi hiki kwanini vijana bado mnalilia tuu? uzeni na nyinyi tuone kama mtahimili haya mnayoyasema...
Hahaahah lakini si umesikia yupo central au hujasikia bado?Watatoka kwenye kuuza unga wataanza kusema yuko freemason. Akili zao zinaishia hapo