Siri ya utajiri wa Majizzo

Siri ya utajiri wa Majizzo

Kuna watu wajuaji sana humu juu ya scandal za watu. Lakini inapokuja kufahamika kuwa ni kweli wanapotea. Poor Tanzania
 
sasa chuki zitawapeleka watu kwa makonda ukiwa na bifu na mtu halafu unapesa kaa chonjo
 
Itafahamika. Ila serikal ifikie mahali iache kuishi kwa Ku seek media attention. List ya hawa manguli IPO ikulu
Sure.....
Naona wameanza kulieka sawa hila LA midia maana wafatwa kimya......

Labda makonda anawajua watu Ila alitaka public support kwanza maana hii vita ni ngumu peke yako kimya inakua ngumu zaid
 
Sure.....
Naona wameanza kulieka sawa hila LA midia maana wafatwa kimya......

Labda makonda anawajua watu Ila alitaka public support kwanza maana hii vita ni ngumu peke yako kimya inakua ngumu zaid
Sure mkuu
 
Tusiruhusu kukubali kuvaa miwani ya mbao kwa kuamini utajiri bila sembe hakuna.
 
Aliyewaambia kuwa majizo ni tajiri mkubwa kiasi hicho ni nani?? Na ke nani kawaambia kuwa majizo ndiye mmiliki pekee wa E-FM??

Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Na usilolijua litakusumbua. Kweli nimeamini
Yaani mkuu acha tyu watu wanajitoa ufahamu
 
Madai ya majizo kukamtwa yana ukweli wowote jaman?
 
Kwa wanao sikiliza E-fm watashangaa sana tena ukisema ina matangazo ya kuokoteza....
Jamani tuache chuki zisizo na tija E-FM kwa sasa ina sikika Dar tuu lakini ni moja ya radio yenye matangazo mengi sana....kuwa mkweli... hawa jamaa wana jitangaza sana tena sana hasa Dares-salaam... wamejitangaza na wanasikilizwa sana tena sana...
Mwaka huuu anapata frequence nyingine zaidi ya tisa tanzania.... tuache chuki lakini kama tuna ushahidi mtu ana uza unga tuweke hadharani sio kuweka visingizio kwakuwa kaanzisha radio basi anauza unga....vijana kama kuuza unga na kufanikiwa ni rahisi kiasi hiki kwanini vijana bado mnalilia tuu? uzeni na nyinyi tuone kama mtahimili haya mnayoyasema...
Mmmhhhh endelea kumtetea
 
Huu uzi unatufundisha tufanye kazi, tusikatishwe tamaa wala kukata.
 
Mafanikio ya mtu Yana Siri nyingi Sana ni kama nguo ya ndani , haianikwi nje hovyo hovyo... Cha mhimu ni kufanya Tu yanayokuhusu ....siku ya mwisho tutajua mengi ya watu
 
Back
Top Bottom