Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,735
- 6,165
Ilete mkuu. Wanyonge tupone
Usiwe na shaka, ipo inasukwa, testing imekamilika sasa hivi nadeal na mambo ya registration tu kumalizana na serikali, wakipitisha kila kitu marketing na kuisambaza nchi nzima itaanza. Hawa jamaa wamekaa hawana competition kwnye fintech wamejisahau, ngoja tulete ushindani washushe gharama.