Hili likifanyika kwa moyo wa ukweli uzalendo na kuaminiana hakuna shida kabisa lakini wengi waliosafiri kibiashara China Japan na Dubai wana mifano lukuki ya kupigwa na wabongo wenzao
Kuna watu ukiwaangalia machoni ni kama binadamu lakini mioyoni mwao Mungu ndie ajuaye! !!nina mifano hai
Mfano kama container lote ni nguo basi mtagawa sawa kwa tatu,lakini kama mna vitu tofauti,mtalipa kutokana na HS CODE iliokua declared.itaonesha kodi ya mtambo wa kuosha gari ni kiasi gani,kama mtu kaleta computer pia itaonesha hivyo kila mtu atalipa kodi kadiri mzigo wake ulivyokadiriwaWazo lako ni zuri...Swali langu ni kwenye kulipa ushuru TRA. Taratibu zinakuaje ? Wanacharge vp ? Haitaweza tokea katika kulipa ushuru mtu atakua amewalalia wengne dat yeye akalipa kiasi kdgo/kingi kulingana na mzigo wake. Au on this case it happens that kusafirisha na container all in all its very cheap ukilinganisha na means zingine ??
Mfano kama container lote ni nguo basi mtagawa sawa kwa tatu,lakini kama mna vitu tofauti,mtalipa kutokana na HS CODE iliokua declared.itaonesha kodi ya mtambo wa kuosha gari ni kiasi gani,kama mtu kaleta computer pia itaonesha hivyo kila mtu atalipa kodi kadiri mzigo wake ulivyokadiriwa
Shida inakuja pale mmoja anapotaka kuchakachua HS Code halafu ibume TRA wao hawajui hilo kama mme share mzigo...ni jambo zuri sana kama wote Mkiwa wamoja na bila chenga chengaMfano kama container lote ni nguo basi mtagawa sawa kwa tatu,lakini kama mna vitu tofauti,mtalipa kutokana na HS CODE iliokua declared.itaonesha kodi ya mtambo wa kuosha gari ni kiasi gani,kama mtu kaleta computer pia itaonesha hivyo kila mtu atalipa kodi kadiri mzigo wake ulivyokadiriwa
Akili ya Mwafrika tayari imewaza kwingine! Kazi kwelikweli.uaminifu ni jambo muhimu sana katika hilo gemu ulilosema kulala pamoja du kazi kwelikweli
HaswaaaAhsante kwa kutuelimisha. Ila i think ita work out vizuri ukiwa na team ya watu mnaofahamiana vizuri.