Siri ya Wasanii kula bata Mbalinzi Mbeya baada ya mazishi ya Masogange

Mi nkajua unatoa siri kumbe na wew umekuja kuuliza........aragnjtgdamjgj!!!
 
umbea tu,hakuna tatizo lolote apo,waache kujifariji kwa kipi haswa?maisha yenyewe mafupi kila mtu hajui tarehe yake
 
Hata Daudi alipofiwa na mwanae alioga akapendeza na kufirahi... Wasomaji wa Bible wataniunga mkono
 
Daima mwenye uchungu huwa ni mfiwa pekee
 
Kwani ulitaka wafanyaje zaidi ya kuendelea na maisha yao? Huyo kafa na maisha yanaendelea
 
Inaitwa mbalizi siyo "mbalinzi"

Hata hivyo umesema mbalizi unaandika habari za forest mpya sijui ya zamani hayo ni maeneo tofauti
 

Siamini kwamba sasa hivi ' Mchwa ' waliopo Udongoni Kaburini wanaanza kuzitafuna na kuzinyofoa taratibu hizo ' Hips ' pichani. Yaani hata Picha zake tu zinatosha kupigia ' Punyeto ' kama Demu wako / Mkeo akikuzingua kukupa ' Mbunye '.
 
Hilo linatakiwa liwe funzo kwako wewe na mimi kuwa kwenye kaburi hakuna "kampani", ni juu yako kujiandalia maisha yako mwenyewe ya kaburini.
 
Masogange kashadondoka zake na amezikwa tayari ulitaka watu wagalegale pale kaburini usiku kucha?hata ukifa wewe tukishusha kile kifusi basi ujue maisha yanaendelea kama kawaida yaani tusinywe bia kisa umekufa.
 
Mbna sisi Wajaluo tunacheza mziki Hata Kama hatujazika marehemu
 
Siamini kwamba sasa hivi ' Mchwa ' waliopo Udongoni Kaburini wanaanza kuzitafuna na kuzinyofoa taratibu hizo ' Hips ' pichani. Yaani hata Picha zake tu zinatosha kupigia ' Punyeto ' kama Demu wako / Mkeo akikuzingua kukupa ' Mbunye '.
Sio kila eneo lina mchwa, baadhi ya maeneo wale wadudu hawaishi. Isitoshe kaburi limesakafiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…