Siri yafichuka wachezaji wa Yanga wamemchoka Zahera Mwinyi

Hivi ile Tshirt yake ya Polo ni moja au anazo nyingi!? Huwa anaongea akionyesha ana uwezo wa pesa sasa kwanini hatungui pamba wakati maduka yamejaa tele.
Ile kununua Paris havai midosho
 
Mikia zidini kuomba uchaguzi usifanyike Yanga ili kuwapata viongozi wapya,maana huu uchaguzi ukifanyika salama Wananchi tutakuja na backup ya ajabu sana
 
Km wanahiyo jeuri wawatimue wote tuone
 
Zahera atakuwa wa kwanza kuondoka, we ngoja uone tu
 
Nidhamu gani watu wanakufa kwa njaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…