KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #41
Biblia sehemu kubwa ni mafumbo, kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo wa Yohana. Ndio maana hata Yesu alipokuja Wayahudi hawakumtambua sababu hawakuyaelewa mafumbo yaliyokuwemo kwenye agano la kale yaliyobeba unabii wa YesuBiblia haijaandikwa kwa mafumbo imeandikwa kwa lugha nyepesi ya picha ili hata watoto wadogo waweze kuelewa. Biblia inatumia sana vielelezo vya picha (pictorial language) kuelezea ukweli flani na sio lugha ya kufumba. Kwanini wewe hutaki watu waelewe namna zako za kupata fedha kama njia zako sio za kishirikina?
Jifunze kuheshimu wengine na wewe utaheshimiwa...Rakims hebu sema kitu, maana nasikia na wewe kilingeni kwako pale Ilala watu wanafurika uwatajirishe
mambo ni assumption tu..Huu ujumbe ni special kwa ndugu Deborah9007 , maana nilikuwa kwenye mfungo, na Mungu akaniambia niongee na wana JamiiForums juu ya jambo hili.
Ili uwe tajiri na udumu katika utajiri wako, eidha wa nuruni au wa gizani ni lazima uwe na vitu viwili vikubwa.
1. MADHABAHU
2. AGANO.
Madhabahu ni sehemu ambayo unakutana na nguvu yako ya utajiri. Kama niguvu yako ni uchawi, basi hapa huwa ndipo unapatenga kwa ajili ya mambo yako, ila sisi ambao utajiri wetu umetoka kwa Mungu, MADHABAHU ni sehemu ambayo huwa nakutana na Mungu wangu, na huwa ninamtengea muda maalum. Muda huo na simu nazima kabisa, najikabidhi kikamilifu.
Namwita Mungu wangu, na huwa muda wetu wa kukutana madhabahuni ni saa tisa usiku hadi kumi na moja na nusu alfajiri kila siku.
Ninampa Mungu hesababu zangu za mapato na matumizi. Vitabu vyangu vya hesabu vinalala madhabahuni.
Namkabidhi Mungu mipango na ratiba zangu za asubuhi na siku nzima inayofuata.
MADHABAHU peke yake ndio inayoweza kukushindia vita zako zote. Kila vita yako ikabidhi madhabahu nayo vita itaisha.
2. AGANO
AGANO ni patano ambalo limebeba ahadi na sheria. Hamna tajiri ambaye hana AGANO. AGANO linakupa standing orders, do's and dont's. Ufanye nini na usifanye nini.
Kwenye agano hapa ndio kwenye masharti ya utajiri. Wengine wana majeraha yasiyopona. Hilo jeraha ndilo agano lenyewe, kwamba jeraha likipona tu utajiri umekwisha, hivyo ili uendelee kuwa tajiri ni lazima uhakikishe kidonda hakiponi.
Wengine wanaambiwa wasile vyakula fulani fulani, wengine wanaambiwa wasilale vitandani, walale kwenye sakafu mbichi iliyolowa maji.
Sisi wa nuruni pia tuna maagano yetu na aliyetutajirisha. Binafsi agano langu linatoka kitabu cha Yakobo 1:27 na Ufunuo wa Yohana 22:2.
Utajiri ni siri, siwezi kumwaga hapakila kitu kwani kwenye agano langu sitakiwi kuropoka hadi nipate ruhusa.
NB:-
CHAKULA CHA MADHABAHU NI SADAKA AMBAYO INAPATIKANA KWENYE AGANO.
KWENYE AGANO KAMA MLIKUBALIANA KILA IJUMAA YA MWANZO WA MWEZI UTATOA SADAKA YA NG'OMBE MZIMA, BASI USITOE MBUZI AU KUKU, KWANI UTAJIRI WAKO UTAPUKUTIKA.
SADAKA INA NGUVU SANA
Deborah9007 naamini kuna kitu umenasa.
Umemaliza kila kitu.Ki bongo bongo utajiri mkubwamkubwa una vyanzo vifuatavyo
1. Utajiri toka kwenye ufisadi
2. Utajiri toka kwenye mishe haramu
3. Utajiri toka kwenye connection za serikalini hasa tenda/zabuni
Mkuu wa matajiri njoo tuwasaidie chochote kitu watoto waishio na virusi vya UKIMWI huku vijijini .Huu ujumbe ni special kwa ndugu Deborah9007 , maana nilikuwa kwenye mfungo, na Mungu akaniambia niongee na wana JamiiForums juu ya jambo hili.
Ili uwe tajiri na udumu katika utajiri wako, eidha wa nuruni au wa gizani ni lazima uwe na vitu viwili vikubwa.
1. MADHABAHU
2. AGANO.
Madhabahu ni sehemu ambayo unakutana na nguvu yako ya utajiri. Kama niguvu yako ni uchawi, basi hapa huwa ndipo unapatenga kwa ajili ya mambo yako, ila sisi ambao utajiri wetu umetoka kwa Mungu, MADHABAHU ni sehemu ambayo huwa nakutana na Mungu wangu, na huwa ninamtengea muda maalum. Muda huo na simu nazima kabisa, najikabidhi kikamilifu.
Namwita Mungu wangu, na huwa muda wetu wa kukutana madhabahuni ni saa tisa usiku hadi kumi na moja na nusu alfajiri kila siku.
Ninampa Mungu hesababu zangu za mapato na matumizi. Vitabu vyangu vya hesabu vinalala madhabahuni.
Namkabidhi Mungu mipango na ratiba zangu za asubuhi na siku nzima inayofuata.
MADHABAHU peke yake ndio inayoweza kukushindia vita zako zote. Kila vita yako ikabidhi madhabahu nayo vita itaisha.
2. AGANO
AGANO ni patano ambalo limebeba ahadi na sheria. Hamna tajiri ambaye hana AGANO. AGANO linakupa standing orders, do's and dont's. Ufanye nini na usifanye nini.
Kwenye agano hapa ndio kwenye masharti ya utajiri. Wengine wana majeraha yasiyopona. Hilo jeraha ndilo agano lenyewe, kwamba jeraha likipona tu utajiri umekwisha, hivyo ili uendelee kuwa tajiri ni lazima uhakikishe kidonda hakiponi.
Wengine wanaambiwa wasile vyakula fulani fulani, wengine wanaambiwa wasilale vitandani, walale kwenye sakafu mbichi iliyolowa maji.
Sisi wa nuruni pia tuna maagano yetu na aliyetutajirisha. Binafsi agano langu linatoka kitabu cha Yakobo 1:27 na Ufunuo wa Yohana 22:2.
Utajiri ni siri, siwezi kumwaga hapakila kitu kwani kwenye agano langu sitakiwi kuropoka hadi nipate ruhusa.
NB:-
CHAKULA CHA MADHABAHU NI SADAKA AMBAYO INAPATIKANA KWENYE AGANO.
KWENYE AGANO KAMA MLIKUBALIANA KILA IJUMAA YA MWANZO WA MWEZI UTATOA SADAKA YA NG'OMBE MZIMA, BASI USITOE MBUZI AU KUKU, KWANI UTAJIRI WAKO UTAPUKUTIKA.
SADAKA INA NGUVU SANA
Deborah9007 naamini kuna kitu umenasa.
Huwa nafurahi kuona unavyopovuka. Nikutakie swaumu njemaJifunze kuheshimu wengine na wewe utaheshimiwa...
Ifikie sehemu kuna baadhi ya Members muwe mnaacha kutag wengine vitu vya kipumbavu sijawahi kumchokonoa mtu humu wala sijawahi kumkashifu mtu.. Ukinitag nitag kwa heshima kwa maana naheshimu Members wote humu bila kujali umri wala jinsia kasoro wapumbavu... Hivyo usisababisha nikakupa namba ya Mpumbavu mwingine.....
- Hicho kilinge ulinifungulia wewe?
- Hao watu uliwapeleka wewe huko Ilala?
- Huo utajiri ulinipa wewe wa kuwagawia watu wengine?
- Huo uchawi wa kufanya hayo ulinipa wewe?
Do your things Be yourself give respect to all, For it has a way to be back to you...
Si kila member yupo humu ajili ya Upumbavu.
Ndio maana kuna forums options za kila aina hivyo tuheshimiane
Rakims
Hao aliowatag ndo wamezingukaWakuu msimshambulie mleta mada, kila mmoja ana uhuru wa kuabudu kwa namna anavyo amini. The end justifies the means.
Alafu sidhani kama kuna ubaya wa mtu kutengeneza madhabau ya mungu wake.
Kwanini unasema ni mchawi?Hao aliowatag ndo wamezinguka
Mie nabakia kucheka kwa sababu mtoa mada kumbe mchawi
Anatufundisha kurogaKwanini unasema ni mchawi?
Kumroga nani?Anatufundisha kuroga
Je agano lake ni kusaidia wahanga wa ukimwi? Hebu tusome na kuelewaMkuu wa matajiri njoo tuwasaidie chochote kitu watoto waishio na virusi vya UKIMWI huku vijijini .
Unakuta kamtu kana hela nyingi kila siku saa tatu kanaenda ku deposit ila afya imekongorokaaa kumbe kanalazwa sakafuni mbavu zimesha ota sugu kiuno hakinasi vyema suriali