Siri za utajiri ambazo hamna mtu anayeweza kukwambia

Kheri wamtegemeao Bwana
 
Sawa mkuu inaonekana unafahamu mengi, hatakama kutakuwa hakuna ukweli kwenye ulicho kiandika.

Ila mimi nina swali moja tu, lakini unipe jibu lisilo na kona kona.

Mungu uliye ingia naye agano(pact), unamfahamu kwa jina lipi?
Hahaha
 
Unakuta kamtu kana hela nyingi kila siku saa tatu kanaenda ku deposit ila afya imekongorokaaa kumbe kanalazwa sakafuni mbavu zimesha ota sugu kiuno hakinasi vyema suriali
au daily kanakula ugali dagaa, yaani kanakula vyakula vya mifugo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…