Siri yako una mwenyewe au,, tafuta mshauri ambae ni mtaalamu lipa weka appointment kamwage Siri zako huko kalie huko piga yowe maliza ondoka zako..... Lakini huku mtaani sijui ndugu rafiki we wape Siri zako wakusaidie kuzitangaza na hawatakupa ushauri wowote wa maana zaidi ya Kukucheka na kukudhihaki