Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Ndo ivyo ujue sasa hata wanaume na wanawake wanaendana na power capacity ya kila Mtu kuna manaume ni kamili kabisa lakini low, akakutana na mwanamke Hi ataonekana mzigo na ubabe utamuisha
 
Ndo ivyo ujue sasa hata wanaume na wanawake wanaendana na power capacity ya kila Mtu kuna manaume ni kamili kabisa lakini low, akakutana na mwanamke Hi ataonekana mzigo na ubabe utamuisha
sahihi kabisa mkuuu
 
These hoes ain't loyal... Endelea kula mashine kpenz... Alafu after 3 months tupe mrejesho
 
Unakuja Kwa ID mpya kusoma upepo au kupata wachangiaji wengi? Upuuzi wa kiwango cha lami..
 
Unapenda kukazwa[emoji3] nunua limbao[emoji125]
 
Usimuache tafuta namna ya kumsaidia ili akuridhishe vizuri..Kumuacha tu kisa hakuridhishi mimi naona sio suluhisho la kudumu. Asante
umemjibu kwa upole na ustarabu hadi nikarudia kusoma avanter kama ni wewe kweli au naota

teh teh
 
Baada ya kuona Uzi wa kutafuta rafiki wa kiume nikavutiwa kufatilia nyuzi zako.
What I found.
Wewe ni msomi Kama siyo deploma basi degree na kuendelea.
Your very smart kwa vitu vingi, siasa, mapenzi kwa levo ya kitaifa na kimataifa.
Hongera Sana.
 
Your first thread.
Naomba kujua kwa Sasa unaishi mkoa gani?. cutelove
 
Hapo morogoro utakutana na waluguru watakuridhisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…