Kweli kabisa, huo mwandiko sio wa kike kabisa.Catfish wa humu mitego yao ile ile. Ukisoma unaona kupitia tones zao.
Mamaaaaa mbavu zangu mie, hajajajajaaaaaHahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hayo hayooo ,maana nasikiaga yaanzia tanga yanatokea Mombasa .
Pango nipango tuuu kapeace
Kweli asubiri mvuta bangi mwenzieMaisha magumu mama wewe unafikiri anatumia akili kiasi gani hadi apate pesa ya kukulipia pango,ajilipie mwenyewe sometimes asomeshe wadogo zake atunze wazazi etc.msongo wa mawazo unachangia muhimu mfariji acha kuja kumuanika huyo jamaa humu mitandaoni...ukitaka raha za mwanzo bila wewe kuzitengeza kwa huyu mpya msubiri huyo muhuni wako atoke jela aje akugonge kihuni maana muhuni yake bangi tu hakuna lengine aliwazalo.
Hilo halina hata ladha mkuuWatu wanataka kutela ameizi
Mmuuuuuh:jamaniMaisha magumu mama wewe unafikiri anatumia akili kiasi gani hadi apate pesa ya kukulipia pango,ajilipie mwenyewe sometimes asomeshe wadogo zake atunze wazazi etc.msongo wa mawazo unachangia muhimu mfariji acha kuja kumuanika huyo jamaa humu mitandaoni...ukitaka raha za mwanzo bila wewe kuzitengeza kwa huyu mpya msubiri huyo muhuni wako atoke jela aje akugonge kihuni maana muhuni yake bangi tu hakuna lengine aliwazalo.
MWANDIKO WA KIUME KABISA HUO, HATA SIJAMALIZA KUSOMA NIMEACHAAu ni me huyu anatuzuga tu hapa??
Sorry cute love, ninayo dawa ya kupunguza hiyo ashki ya kupenda dushe km inakukera hiyo hali basi changamkaJamani nimeomba ushauri siyo matusi
Usicheke sana sasa mwisho maini yakachanika !!!.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .Mamaaaaa mbavu zangu mie, hajajajajaaaaa
Bila shukaKubokolewa ata pembeni utabikolewa fresh ila hela bi dadaaaaaaaa
Chakula uyu
Wacha ujinga, wewe ME kwa mujibu ya maelezo yako, sasa sjui ndio wale wale
Mtakuwa Hamupwayani ndo maana mnafatana....tehteh just kidding [emoji125] [emoji125]Fursa hiyo changamkeni, Hlf kwanini tunafatana sana kwny comments
Sijambo kabisa muhusika kashasema anaomba ushauri tusimtukane etiUsicheke sana sasa mwisho maini yakachanika !!!.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Hiii tumuachie muhusika .
Hujambo lkn ?
Yap ..mpeni ushauri tu.Sijambo kabisa muhusika kashasema anaomba ushauri tusimtukane eti
Sijawahi kukuona umechangia point kama leoUsimuache tafuta namna ya kumsaidia ili akuridhishe vizuri..Kumuacha tu kisa hakuridhishi mimi naona sio suluhisho la kudumu. Asante