Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Maisha magumu mama wewe unafikiri anatumia akili kiasi gani hadi apate pesa ya kukulipia pango,ajilipie mwenyewe sometimes asomeshe wadogo zake atunze wazazi etc.msongo wa mawazo unachangia muhimu mfariji acha kuja kumuanika huyo jamaa humu mitandaoni...ukitaka raha za mwanzo bila wewe kuzitengeza kwa huyu mpya msubiri huyo muhuni wako atoke jela aje akugonge kihuni maana muhuni yake bangi tu hakuna lengine aliwazalo.
Kweli asubiri mvuta bangi mwenzie
 
Maisha magumu mama wewe unafikiri anatumia akili kiasi gani hadi apate pesa ya kukulipia pango,ajilipie mwenyewe sometimes asomeshe wadogo zake atunze wazazi etc.msongo wa mawazo unachangia muhimu mfariji acha kuja kumuanika huyo jamaa humu mitandaoni...ukitaka raha za mwanzo bila wewe kuzitengeza kwa huyu mpya msubiri huyo muhuni wako atoke jela aje akugonge kihuni maana muhuni yake bangi tu hakuna lengine aliwazalo.
Mmuuuuuh:jamani
 
Hata huyo wa goli mbili za kuunganisha ungempiga chini kwakua wapo wanaounganisha tatu ndani kwa ndani.. Gawana hivyo hivyo kila mmoja apate kaduchu, mko wengi...
 
Hii story nimeisikia kwa diva the bousy, Kama sio yako ni Bora Ungetoa reference kuliko kuweka Kama ilivyo Ila kama ni ww mmmhhh polee
 
Ushauri?

Kabla ya kuomba ushauri ulijiuliza kilicho Fanya jamaa ampe mimba mwanafunzi?

Huoni kama wew unaweza ukawa chanzo?

Kuna uwezekano mwanafunzi alikuzidi kete hasa katika secta ya ubinuaji wa kiwango cha rami kwenye hio michezo.

Kwann jamaa amekutupia gori nyingi zisizo na idadi mpaka za kuunga na ukajikuta mfungwaji unashangilia na washangiliaji na umeshindwa kumzawadia hata kombe moja

Huoni kama kombe alilo zawadiwa na mwanafunzi limemfanya aende jela moyo wake ukiwa na amani kuliko kung'ang'ania mechi 100 zisizo na zawadi

Mungu ni wa ajabu naomba hicho kijeba alichokupa upambane nacho tu hivyo hivyo maana umeyataka mwenyew
 
a6b3f820ccc2a5f7c09e7730af1044be.jpg


Wacha ujinga, wewe ME kwa mujibu ya maelezo yako, sasa sjui ndio wale wale
Chakula uyu
 
MWANDIKO WA KIUME KABISA HUO, HATA SIJAMALIZA KUSOMA NIMEACHA


ile miwani yako umeipata? nisije kukuumiza macho
Naona unaham unifahamu,kesho njoo Chalinze
 
Cutelove naomba niwe mchepuko wako nitakuchezesha sio bundersliga tena ila kriket kabisaa
 
Back
Top Bottom