Sirro akimaliza muda wake, SACP Suzan Kaganda anafaa

Sirro akimaliza muda wake, SACP Suzan Kaganda anafaa

Kwa jinsi maza anavyopelekapeleka mambo sina hamu na wanawake mimi... Japo huyu Suzan namfaham tangu akiwa RPC Tabora ila sina hamu
 
Mbona Prof Assad hakubadilishwa na mfumo?
Usiwe kama Kasuku,kwani kwenye nchi zenye mifumo imara kama Marekani makandokando hayatokei?Unaelewa jinsi Trump aliitikisa marekani hadi wafuasi wake wakaenda kufanya fujo bungeni na mabunduki licha ya mfumo wao wa kidemokrasia kuwa imara?

Kwa hiyo kwa akili zako unafikiri kuwa mifumo iko perfect?Yaani unategemea mfumo wa hovyo basi uwe perfect hovyo moja kwa moja na mfumo imara basi uimara wake uwe perfect moja kwa moja?

Kwa kifupi ni kwamba hakuna mfumo wowote ule either imara au wa hovyo ambao unaweza kuattain perfection level.

Yaani mambo madogo kama haya yanakusumbua kuelewa?
 
Wakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police.. zaidi ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?

View attachment 1916357
Ni matarajio yangu huko Tanzania,atakuwa IGP WA kwanza mwanamke. Na mpenda Haki,amani na mpenda demokrasia. Mama D ninaomba weka NENO hapo
 
IGP ni nafasi ya wanaume tu Jeshini mwanamke ni kiburudisho tu hawez kuwa senior mbele ya wanaume jeshi halihitaji kauli za hurumahuruma
 
Usiwe kama Kasuku,kwani kwenye nchi zenye mifumo imara kama Marekani makandokando hayatokei?Unaelewa jinsi Trump aliitikisa marekani hadi wafuasi wake wakaenda kufanya fujo bungeni na mabunduki licha ya mfumo wao wa kidemokrasia kuwa imara?

Kwa hiyo kwa akili zako unafikiri kuwa mifumo iko perfect?Yaani unategemea mfumo wa hovyo basi uwe perfect hovyo moja kwa moja na mfumo imara basi uimara wake uwe perfect moja kwa moja?

Kwa kifupi ni kwamba hakuna mfumo wowote ule either imara au wa hovyo ambao unaweza kuattain perfection level.

Yaani mambo madogo kama haya yanakusumbua kuelewa?
Mbona kama sijakuelewa hivi kwani tatizo langu lipi?
 
Mbona kama sijakuelewa hivi kwani tatizo langu lipi?
Tatizo lako ni kutaka mifumo iwe perfect.Mifumo haiwezi kuwa perfect.

Kama mfumo ni mbovu kutakuwepo na watu wachache wazuri na vilevile kama mfumo ni mzuri(wa demokrasia) kutakuwepo na watu wachache wa hovyo pia.
 
Wakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police.. zaidi ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?

View attachment 1916357
Wasliana na wanyamwezi wakujuze madudu ya susana wakati akiwa rpc wao na nini kilisababisha kuhamishwa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lako ni kutaka mifumo iwe perfect.Mifumo haiwezi kuwa perfect.

Kama mfumo ni mbovu kutakuwepo na watu wachache wazuri na vilevile kama mfumo ni mzuri(wa demokrasia) kutakuwepo na watu wachache wa hovyo pia.
Hapana mi nimekutajia tu Assad kumaanisha kwamba pamoja na kuwa na mifumo mibovu ila alikuwa na misimamo.
 
Hapana mi nimekutajia tu Assad kumaanisha kwamba pamoja na kuwa na mifumo mibovu ila alikuwa na misimamo.
Na mimi nikakujibu kuwa hiyo ni kawaida kabisa kwa sababu ndani ya mifumo mibovu wapo watu wema pia na ndani ya mifumo mizuri wapo watu wabaya pia.
 
Ningeambiwa niandike essay kwa hichi kichwaa Cha habari,point ya kwanza ingekuwa corruption na ya pili ingekuwa nepotism na ya tatu ni poor leadership.
Conclusion:kazi iendelee.
 
Na mimi nikakujibu kuwa hiyo ni kawaida kabisa kwa sababu ndani ya mifumo mibovu wapo watu wema pia na ndani ya mifumo mizuri wapo watu wabaya pia.
Kwahiyo tusiseme tu kwamba tatizo sio hao watu bali tatizo ni mifumo.
 
Wakuu huyu mama mm namkubari pamoja na mifumo inaweza muathiri lakin ni kiongozi hodari ..atapambana kikamilifu pia anaweza Fanya refoms nzuri ndani ya jeshi la police.. zaidi ya huyu sioni mwingine,,,wewe jee?

View attachment 1916357
Bado sana huyu, ataweza kuwapita magwiji kama Hamdani na Wambura?
 
Kwahiyo tusiseme tu kwamba tatizo sio hao watu bali tatizo ni mifumo.
Yes,na ndicho nilichokisema tokea mwanzo.Mfumo wa CCM wa kuendesha serikali ni ule wa kuiweka mihimili yote mfukoni.Hakuna mhimili ambao upo huru.Hadi dini hazipo huru.
 
Back
Top Bottom