Madaktari bingwa waa vichaa Kumumba wamemuona Lissu akitema dhahabu HardTalk wakagundua pasi shaka kwamba ni kichaa.Nipe ubuyu, wanadai Lissu kafanya lip? Kuonesha anakaa (anafanana) kama kichaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Madaktari bingwa waa vichaa Kumumba wamemuona Lissu akitema dhahabu HardTalk wakagundua pasi shaka kwamba ni kichaa.
Wataalamu nyokonyoko, wataalam makalio makubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simsikiii nilijua yuko kando
Hapana huo hawauhitaji ila wanataka kumshtaki Lissu kwa kuichafua serikaliMi nadhani wangeomba msaada wa kuwapata walio mpiga lissu risasi.
Sent using Jamii Forums mobile app