Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Katika kile kinachoelezewa kama kuichafua serikali, mpaka Lissu kuitwa kichaa anaetakiwa kuwa Mirembe, kichaa ambacho Wabelgiji wanaomtibu na kumuona kila siku wameshindwa kukigundua lakini wataalamu wa CCM wamekigundua kwa kumuona Lissu kwenye luninga.
Ombeni ni msaada wa Interpol mtuhumiwa arejeshwe haraka.😂
Ombeni ni msaada wa Interpol mtuhumiwa arejeshwe haraka.😂