Sirro: Lissu ameshindwa kutoa ushirikiano kuhusu tukio lake la kupigwa risasi... Jalada la Uchunguzi kuhusu kupotea kwa Azory limefunguliwa

Sirro: Lissu ameshindwa kutoa ushirikiano kuhusu tukio lake la kupigwa risasi... Jalada la Uchunguzi kuhusu kupotea kwa Azory limefunguliwa

Kamanda Sirro kumbuka madaraka/cheo ni dhamana,unachokifanya na kukiongea sasa kitakutesa wewe na kizazi chako.
Ni suala la muda tu,huyo magufuri munayemtetea kwenye uongo si mungu.
Tundu lissu mumemuonea,munamnyima haki na kumdhihaki ila muda ndio utampa haki na kuwahukumu ninyi nyote.
 
Sirro sina namna yoyote ya kukufanya maana una mamlaka. Ninachoweza kufanya in kupiga magoti na kukuombea laana ili upatwe na magonjwa sugu yakutese mpk utambue kuwa kuna Mungu.

Vipi endapo Tundu Lisu angekufa? Nani angetoa ushirikiano? Nasubiri siku rais aliyekuteua ashambuliwe mchana kweupe kisha akimbizwe nje ya nchi kama Lisu, halafu usifanye uchunguzi kwakuwa. Rais hayupo nchini
tumezoea kuwatakia watu mafanikio from zero to hero. huyu alishapigwa. Mungu alimwambia mfalme daudi kuwa hatamjengea kanisa maana mikono yake imejaa damu. sirro alitamani sana kuwa padri Mungu kakataa. tangu siku hiyo ikawa laana from sirro to zero. kila sehemu sasa anajenga ufalme wa shetani kwa kusambaza mabaa ya pombe! hivyo hata kuongea kwake ni ushetani mtupu.
 
Hivi kamanda Lisu haya mambo mbona rahisi tu njoo ufungue jalada mlete na dereva wako mueleze mkasa mzima mkiwa na watu wenu wa kushuhudia hayo maelezo, baada ya hapo mbivu na mbichi zote zitajulikana. . nakufugua ukurasa mpya wa nini matokeo yake..huenda mtawashika pabaya wanaowachafua kwa visingizio vya ushahidi.
 
Mkuu asante unaweza kuja kutoa taarifa hizi vizuri maana hii ni jinai wewe utakuwa shahidi tu. Umetusaidia Sana na hata Kama hujajitokeza nakuahidi tutakupata
Hivi unadhani ninaogopa hivyo vijimaneno vyako? Subiri mtoke madarakani ndiyo mtajua hii nchi siyo ya Wasukuma.
 
Acheni kujitoa akili mnmjua kabisa aliyemshambulia Tundu Lissu na kwenye kikao cha kupanga mashambulizi na wewe Simon Sirro ulihudhuria. Aliyepiga risasi ni Bwire na Herry Kisanduku ambao walfanya hivyo kwa maelekezo ya Paulo Makonda.

Kilichobaki kwa Simon Sirro ili uepuke kupata dhahma kama ya IGP mwezio wa Uganda Kale Kayihura ambaye yuko under arrest kwa amri ya ICC ni wewe kuanza kuwaua mashahidi muhimu kabla hujatoka ofsini kama IGP. Hao waliopiga bunduki watakutaja tu na hautakwepa tutakapo kupeleka ICC.
Yawezekana hapa ndipo kwa kuanzia,mpatie IGP hiyo taarifa anonymously ili tumfahamu muhusika kabla Mhe.Lissu hajarudi nchini kwake.Mbona walengaji/wadunguaji wanatajwa na hawahojiwi wala hatupewi habari zao kama si wahusika?Ama hawa waliotajwa hawapo Duniani?Ni vizuri kuchukulia tetesi kama hizi maana zaweza kusaidia.
 
Yawezekana hapa ndipo kwa kuanzia,mpatie IGP hiyo taarifa anonymously ili tumfahamu muhusika kabla Mhe.Lissu hajarudi nchini kwake.Mbona walengaji/wadunguaji wanatajwa na hawahojiwi wala hatupewi habari zao kama si wahusika?Ama hawa waliotajwa hawapo Duniani?Ni vizuri kuchukulia tetesi kama hizi maana zaweza kusaidia.
Wanawajua wauaji kwa vile ni wao wenyewe waliowatuma ndiyo maana hawawezi kuwapeleka Mahakamani. Hawa watasombwa tu baada ya Jiwe kutoka madarakani.
 
my IGP ,halafu unajifanya unakwenda nyumba za ibada na kumwomba Mungu !!! time na history vitakuja kuamua,mtanzania mwenzako anapigwa risasi kama unaua tembo halafu unasubiria aliyepigwa risasi ndio afungue kesi!ipo siku itatokea wa upande wa pili ndio apigwe risasi halafu tuone utasubiria apone ndio aje afungue kesi.
 
Yawezekana hapa ndipo kwa kuanzia,mpatie IGP hiyo taarifa anonymously ili tumfahamu muhusika kabla Mhe.Lissu hajarudi nchini kwake.Mbona walengaji/wadunguaji wanatajwa na hawahojiwi wala hatupewi habari zao kama si wahusika?Ama hawa waliotajwa hawapo Duniani?Ni vizuri kuchukulia tetesi kama hizi maana zaweza kusaidia.
why humuulizi IGP,nini matokeo ya foresinc inverstigations iliyofanywa na polisi ikiwa ni pamoja na kuzitafuta silaha zilizotumika ili ballistic test ifanyike?leo imetokea kwenye familia ya Lisu,kesho u never know labda kwako mkuu na uje na mchango kama huu hapa,wakati mpendwa wako amepigwa 10bullets!!
 
Yani Mumpoteze wenyewe kisha mfungue jalada la uchunguzi wenyewe....!

Only fools can believe this
 
Yani Mumpoteze wenyewe kisha mfungue jalada la uchunguzi wenyewe....!

Only fools can believe this
Tuwaombee uzima, siku wakitoka madarakani tutaanza kuwakata pumbu kama alivyofanyiwa Samuel Doe wa Liberia.
 
Hivi kamanda Lisu haya mambo mbona rahisi tu njoo ufungue jalada mlete na dereva wako mueleze mkasa mzima mkiwa na watu wenu wa kushuhudia hayo maelezo, baada ya hapo mbivu na mbichi zote zitajulikana. . nakufugua ukurasa mpya wa nini matokeo yake..huenda mtawashika pabaya wanaowachafua kwa visingizio vya ushahidi.
Angekuwa ameuawa na risasi nani angewapa ushirikiano?
 
Huo ndiyo ukweli wenyewe,hawana ubavu wa kufanya uchunguzi wala kusema Mani wadunguaji maana wanawafahamu fika.
Hata wanapojishaua kuwa Lissu na Dereva warudi ili wafanye uchunguzi ni mbinu yao ya kutuhadaa.The.Lissu abaki alipo maana wanataka kummalizia rasmi.Hiyo ndiyo their last resort, wanaona haya.
 
Huyu siro anayoyaongea naona zero tu, hivi lisu angekufa inamaana wasingefanya upelelezi?
 
IGP Sirro anazidi kutupa utata zaidi.Kwani Tundu Lissu angeuawa uchunguzi usingefanyika? Na je,ni jeshi gani la polisi duniani ambalo husubiri kuletewa ushahidi badala ya kuchunguza/kupeleza kutafuta ushahidi? Mpaka sasa imeshika wangapi kama watuhumiwa? Watanzania sio wajinga
 
Back
Top Bottom