Uchaguzi 2020 Sirro: Msitumie shida za vijana kama sababu ya kuwatumia kuanzisha fujo

Uchaguzi 2020 Sirro: Msitumie shida za vijana kama sababu ya kuwatumia kuanzisha fujo

Anamaanisha hawa vijana wa Chato waliprusha mawe msafara wa Lisu!?
 
Mawe yakupangwa na wahuni wa ccm hayaumizi. Lkn kukataliwa na wananchi kama ilivyokuwa kwa Magufuli kule Bunda, Busega na Kagera hakika imemkatisha sana tamaa Magufuli. Atakuwa na gundu la kunguni ama fungo huyu mzee.

Anashindwaje umaarufu na mgonjwa aliyekuwa hospitali, hajanunua hata msumari wa kujengea zahanati?

Kajenga Sana vitu lkn bado wananchi hawampendi.

sasa jamaa kaenda chato kaishia kusalimia na kuondoka, anatia huruma sana
 
sasa jamaa kaenda chato kaishia kusalimia na kuondoka, anatia huruma sana
Nzi kufia kwenye kidonda haishangazi Sana. Lkn Magufuli aliyejimwambafai miaka 5 kwamba ni wa wanyonge hatakiwi hata kwao!!!?
 
Sirro ni MPUUZI! Waliovamia kwenye kambi ya Lema, Msigwa na Heche si vijana bali ni polisiccm mbona hatii neno kuhusu aliyewatuma? Nani aliyewatuma polisiccm kumpiga mgombea wa Chadema Catherine Ruge na watu wa Chadema hadi kusababisha Catherine kujeruhiwa na kulazwa hospitali!? 😳


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaonya baadhi ya wanasiasa nchini kuacha kuwatumia vibaya wananchi hususan vijana hasa katika kipindi hiki cha kampeni za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 2020 na kuwaingiza kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani.

IGP Sirro amesema hayo akiwa Musoma mkoani Mara kwenye kikao kilichowahusisha viongozi wa kisiasa wakiwemo wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu waliopo mkoani humo ambapo aliwataka wagombea hao kutumia majukwaa ya kampeni kuhubiri amani.

Kwa upande wake mgombea ubunge jimbo la Bunda kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Ester Bulaya, amesema katika kipindi hiki cha wiki mbili kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu lazima vyama vishikamane na kuwa makini sambamba na kulipongeza Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri.
 
Kila siku anaimba mapambio hayo hayo wakati kutimiza wajibu wao kama pilisi hawataki, msafara wa Lissu umeshambuliwa huko Chato halafu bado anaongea pumba tu bila aibu yoyote, Sirro amejisahau sana ameshakuwa mwanasiasa.

Lissu amefunga barabara huko hataki kusikia tena huu ujinga wako.
Tatizo wanajua wanasiasa ni waupinzani tu, ukiwa ccm hawakuchukulii kama mwanasiasa. Wale vijana waliomletea Lisu fuja atasema walichokozwa na vijana wanaotumiwa na wsnasiasa (upinzani)
 
Sitaki vurugu, na sitaki kupoteza kazi
Sioni ccm ikishinda, na nimeambiwa nihakikishe inashinda
Ikishinda cdm tabakia kuwa polisi, ila tavuliwa hiki cheo, nami sitaki
Nikihakikisha ccm inashinda, wanaweza kufa watu wengi, nami nikabaki na hiki cheo, lakin sitaki watu wafe kwa amri yangu.

Sirro anaishiwa pumzi, mke wake anamuinua taratibu na kumkalisha kitandani, kisha anamletea maji ya barid...
 
Nzi kufia kwenye kidonda haishangazi Sana. Lkn Magufuli aliyejimwambafai miaka 5 kwamba ni wa wanyonge hatakiwi hata kwao!!!?

watu wa kupinga wapo si ndo kama nyinyi sasa shida iko wap apo, huyu dada yenu mkubwa kashindwa kuongea akiwa chato maaana aliwasme asana, sasa watu wameanza kuonyesha nan mwenyewe nguvu, wewe ongea wao warusha mawe, madhara yako wafuasi wa dada lissu wanavuja damu tu
 


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaonya baadhi ya wanasiasa nchini kuacha kuwatumia vibaya wananchi hususan vijana hasa katika kipindi hiki cha kampeni za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 2020 na kuwaingiza kwenye vitendo vya uvunjifu wa amani.

IGP Sirro amesema hayo akiwa Musoma mkoani Mara kwenye kikao kilichowahusisha viongozi wa kisiasa wakiwemo wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu waliopo mkoani humo ambapo aliwataka wagombea hao kutumia majukwaa ya kampeni kuhubiri amani.

Kwa upande wake mgombea ubunge jimbo la Bunda kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Ester Bulaya, amesema katika kipindi hiki cha wiki mbili kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu lazima vyama vishikamane na kuwa makini sambamba na kulipongeza Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri.

Huyu mzee tayari ana jarada ICC atasitaafu akiwa jela za ICC The Hague wanasubiria uchaguzi upite waje kumchukua
 
Sitaki vurugu, na sitaki kupoteza kazi
Sioni ccm ikishinda, na nimeambiwa nihakikishe inashinda
Ikishinda cdm tabakia kuwa polisi, ila tavuliwa hiki cheo, nami sitaki
Nikihakikisha ccm inashinda, wanaweza kufa watu wengi, nami nikabaki na hiki cheo, lakin sitaki watu wafe kwa amri yangu.

Sirro anaishiwa pumzi, mke wake anamuinua taratibu na kumkalisha kitandani, kisha anamletea maji ya barid...
Tayari ICC wameandaa jarada lake kutokana na Polisiccm kuzidisha unyanyasaji uonevu uovu kwa chadema ikiwemo tukio la serengeti Polisiccm wa kiume kumpiga mwanamke mpaka kupelekea kulazwa
 
Anamaanisha hawa vijana wa Chato waliprusha mawe msafara wa Lisu!?
Hao vijana wametumwa na Polisiccm kurusha mawe ndiyo maana hawakukamatwa licha ya kufahamika vizuri
 
sasa jamaa kaenda chato kaishia kusalimia na kuondoka, anatia huruma sana
Huruma ipi? Kasema anataka haki neno haki linatosha kwani bila haki hakuna maendeleo hakuna chochote zaidi ya kutaabika kama watu wanavyotaabika kwa udikiteta wa mtukufu magufuli
 
Back
Top Bottom