Sirudi tena kona bar.

Sirudi tena kona bar.

Duuuh jembe we mtata wewe:: haya bwana tuangalie tusije kuota mkia bureee.... Mambo mengine vipi lakiini

Poa tu mkuu. ndio naelekea kona bar kung'oa vipi leo hauendi?!
MAPROSOO.
 
ili kusaidia watu walio ni pm..nimepata pm zaidi ya mia moja hadi najuta kuileta hii thred hapa watu wanaulizia ilipo hii kona bar
Hahahahaha, kweli umewaonea wana JF...
Kazi yako, watakufungulia thread. Siku hizi ndio mtindo.
Watu wakikereka tu, wanaazisha thread!
Uliongea na Afrodenzi?
 
Hahahahaha, kweli umewaonea wana JF...
Kazi yako, watakufungulia thread. Siku hizi ndio mtindo.
Watu wakikereka tu, wanaazisha thread!
Uliongea na Afrodenzi?
alikuwa bussy klorokwin alimuiba nikashidwa kuongea naye..kloro ni mtu wa ajabu sana
 
alikuwa bussy klorokwin alimuiba nikashidwa kuongea naye..kloro ni mtu wa ajabu sana
he is! mpinzani wake labda babu yangu tu...
Hata hivo hakuna haraka,
Anti na Uncle wameenda weekend serengeti.
 
Mzee ulilipa buku ukimaanisha kwamba unataka back ndio maana akakusonya.
 
Inafaa uchane na matendo machafu yamchukizayo muumba kijana. Mda wa kwenda kona bar na sehem za starehe u2mie vizuri kusoma vitabu vitakatifu na kusali.
Wenu ktk utumishi, Rev Fr KABOKA mchizi
 
usirudi okoka kabisaaa,hio hela ya pombe ungesave kwa ajili ya kuwaandalia wanao maisha mazuri...lol

hivi ulimalizaga kujenga ile nyumba yako na zile milioni 10 zako?
 
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo

Kona bar ni mahala pa hawa mademu wafanya biashara sasa la ajabu nn??
 
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo

haaah haaah Saint kiwanja changu hicho. Huwa napita pale kupata biere mkuu.
 
hivi kunani hapa??
Pamoja na vumbi lakini panapendwa tu.
 
Back
Top Bottom