Sina shaka wewe ni Mkristo,na sina sina shaka ushapata kusikia kisa cha yesu kumtoa mtu mapepo/jini mtu mmoja aliyekuwa nasumbuliwa nayo,je unakumbuka alipoyatoa aliyaamuru yaende kwenye nini? Na kilitokea nini baada ya hapo?Hahaha ndivyo ilivyo.
Duuu jamaa umesoma hadi mwisho alicho andikaUmebugi.Ulaji wa huyo mdudu unaongeza nguvu za kiume.
Mimi ni Masai na Noah nasukuma kama kawamakabila kifugaji hapa Tanzania, waMasai, waBarbaig na wengine wenye asili ya nyama(kufuga), hawali nyama hii tena wengine wamefikia hatua kwamba mnyama huyo akipita kwenye zizi ama nyumba zao wanahama eneohilo.sasa tujiulize ikiwa wenye asili ya ulaji nyama hawaili hiki kito joto kuna siri gani ndani yake?
Mara ormeeki lepalai ,akara ormaa abarakiEro ira rmeeki, me RMaasinda te iyye.
nimekukubali ila ukumbuke kwetu hatuli hiyo kitu, waBarbaig akipita kwenye boma wanahama kabisa.Mara ormeeki lepalai ,akara ormaa abaraki
Nafahamu nilikua nachangamsha genge tu ,japo pia utamaduni wetu umetetereka sana kuna sehemu siku hizi Masai wanakula mdudunimekukubali ila ukumbuke kwetu hatuli hiyo kitu, waBarbaig hakipita kwenye boma wanahama kabisa.
Nafahamu nilikua nachangamsha genge tu ,japo pia utamaduni wetu umetetereka sana kuna sehemu siku hizi Masai wanakula mdudu
Na pia unaposema Masai hawali sio wote ,huwa tunalinganisha mambo kwa percentage ,hivyo wote tupo sawa kwa mantiki hiyoUkichangamcha genge kwa namna hiyo unahamasisha ulaji wa mdudu, watu hawajui kwamba hata wanaotegemea mifugo kama chakula kikuu hawali mdudu.
kufa ni kufa tu haijalishi utakufa kwa stail ganihivi kufa kwa minyoo au kupigwa na Polisi ktk operation ukuta kipi bora? Leo hii unaongea kwa dhihaka subiri yakukute utaongea kwa machozi na majonzi
Time will tell