Sirudii tena

Sirudii tena

moj6

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
3,354
Reaction score
4,985
Kunywa K vant kavu, hapa sielewi ahhhh naapa
 
Aahahahahahaa weka location on ili utumiwe bin kuirejeshewa kuelewa, atleast ufike kitandani salama.

Cha muhimu utupiemo kikombe cha alkasusu ili K Vant mkavu atulie tumboni vinginevyo atakusumbua usiku mzima hutolala.

Kalagabahoo.
 
Ukome na kilanga ngeeeh cha ngeda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukome na kilanga ngeeeh cha ngeda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa afu today is my birthday,you are mostly welcome

California love
 
Kunywa K vant kavu, hapa sielewi ahhhh naapa

IMG_0717.jpg
 
Ukitoka hapo unakuta nipo na sifuri yako ........nimeipaka mate au kohozi........naichabanga na kisu kama bucha man na mfupa wa goti la ng'ombe..........ndio utaona raha yake
 
Ukitoka hapo unakuta nipo na sifuri yako ........nimeipaka mate au kohozi........naichabanga na kisu kama bucha man na mfupa wa goti la ng'ombe..........ndio utaona raha yake
Kuwa makini,mla huliwa[emoji1787]

California love
 
Back
Top Bottom