Sishangai stars kutoka Suluhu na Ethiopia

Sishangai stars kutoka Suluhu na Ethiopia

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Kwa tunaofatilia haya mashindano utaona team ndogo zimekuja na mkakati wa kuzikamia team kubwa
Hii ilianzia kwenye AFCON pale Ivory coast na naona inaendelea hivyo hivyo ambapo team Giants Afrika ikiwemo Taifa Stars chini ya manguli Mgunda na Moroco zimekutana na ukamiaji huo.

Ila naamini mwisho tutaenda afcon kule Morroco vizuri tu hasa baada ya mgunda kuamua kujikita Sasa kwa taifa stars (Samia eleven) na kuachana na Simba queens
 
Lack of fitness ndiyo iliyotuangusha kwenye ile mechi wachezaji wa Ethiopia walikuwa wapo fit kuliko wachezaji wetu. Hasa yule jamaa mbantu anaitwa sijui kamara aliwahenyesha sana wachezaji wa stars kwa ufiti alionao

Mpaka sasa naamini taifa stars hakuna mchezaji mwenye fitness kumzidi khalid aucho huo ndio ukweli. Wachezaji wetu wajitume kwa kufanya mazoezi binafsi km wachezaji wengine wa kigeni.
 
Kwa tunaofatilia haya mashindano utaona team ndogo zimekuja na mkakati wa kuzikamia team kubwa
Hii ilianzia kwenye AFCON pale Ivory coast na naona inaendelea hivyo hivyo ambapo team Giants Afrika ikiwemo Taifa Stars chini ya manguli Mgunda na Moroco zimekutana na ukamiaji huo.

Ila naamini mwisho tutaenda afcon kule Morroco vizuri tu hasa baada ya mgunda kuamua kujikita Sasa kwa taifa stars (Samia eleven) na kuachana na Simba queens
Kaangalie upya rekodi za head to head kati ya Tz na Ethiopia.

Kisha angalia mafanikio ya timu moja moja.
 
Lack of fitness ndiyo iliyotuangusha kwenye ile mechi wachezaji wa Ethiopia walikuwa wapo fit kuliko wachezaji wetu. Hasa yule jamaa mbantu anaitwa sijui kamara aliwahenyesha sana wachezaji wa stars kwa ufiti alionao

Mpaka sasa naamini taifa stars hakuna mchezaji mwenye fitness kumzidi khalid aucho huo ndio ukweli. Wachezaji wetu wajitume kwa kufanya mazoezi binafsi km wachezaji wengine wa kigeni.
Uko sahihi Ethiopia wako na fitness nzuri sana
 
Back
Top Bottom