Sishangai Yanga kuleta kocha mpya!Labda sasa wanataka kucheza mpira

Sishangai Yanga kuleta kocha mpya!Labda sasa wanataka kucheza mpira

Chezeni mpira kuishia makundi si kitu cha kujisifu ! Tunawafahamu kwa uhodari wa kucheza mpira nje ya uwanja ndio maana international match mnadoda sana
 
Habari za kuleta kocha mpya zimeshika kasi tena.Nasisitiza sishangai Yanga kuleta kocha mpya kwa sababu matokeo yao si kwa sababu ya kocha waliyenaye bali kocha kivuli.Huyu kocha kivuli amekuwa nyuma ya matokeo mengi ya Yanga.Huyu kocha mzungu ni geresha tu lakini kocha kivuli aitwaye "pesa" ndiye aliye nyuma ya matokeo ya Yanga inayosifiwa sana na magazeti na watangazaji maslahi.Huenda yanga sasa wameamua kucheza mpira.
Huna unalojua kuhusu mpira wewe nenda kalime..
 
Tumekusamehe bureeeee, barmed,mbumbumbu bin mikia aka vunja viti. Ni utani tu
 
Kocha mpya ameshangaa kukuta wachezaji hawajui ku control mpira na hata kupokea pasi.
 
Back
Top Bottom