Pre GE2025 Sisi Chama cha Mapinduzi tunasema hakuna kazi bila utu, kwani tunawahudumia Wananchi na kuhakikisha tunawapatia maendeleo wanayostahili kwa weledi wa

Pre GE2025 Sisi Chama cha Mapinduzi tunasema hakuna kazi bila utu, kwani tunawahudumia Wananchi na kuhakikisha tunawapatia maendeleo wanayostahili kwa weledi wa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Sisi Chama cha Mapinduzi tunasema hakuna kazi bila utu, kwani tunawahudumia Wananchi na kuhakikisha tunawapatia maendeleo wanayostahili kwa ueledi wa hali ya juu.

CCM 2025 ✅,
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
 

Attachments

  • VID-20250313-WA0005.mp4
    6.8 MB
"Sisi CCM tunasema Kazi na Utu" 😀👇🏽

GjZejA3WUAAlHIo.jpeg
 
Sisi Chama cha Mapinduzi tunasema hakuna kazi bila utu, kwani tunawahudumia Wananchi na kuhakikisha tunawapatia maendeleo wanayostahili kwa ueledi wa hali ya juu.

CCM 2025 ✅,
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
Kweli kabisa Kazi na utu ndio msingi wa maendeleo yenyewe hayo.
 
Kati ya mambo ya kipuuzi ambayo yameharibu taswira yenu ni issue ya utekaji. Haijalishi kama ni ya kisiasa,kishirikina na hata ya uhalifu wowote;kutekana na watu kupotea kumeongeza chuki dhidi yenu nakuonekana kwamba chama chenu ni cha kiharamia
 
Back
Top Bottom