Sisi Coast hatujamuuza Lawi Simba, wakamnunue Mwamunyeto

Sisi Coast hatujamuuza Lawi Simba, wakamnunue Mwamunyeto

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Habari wanagentamycine washabiki kindakindani wa Simba kindaki ndaki, nikiongea kutokea Tanga mjini maeneo ya Mkwakwani napenda kutoa taarifa kuwa taarifa za simba kumnunua mchezaji wetu Lameck Lawi si za kweli, na simba hawakufuata utaratibu tuliowapa. kwakuwa tumeshapata offa nzuri kutoka nje ya nchi na simba imeshindwa kukidhi matakwa yetu hivyo hatutawaachia Lawi.

Ushauri wangu kwa Malokokocho ni kuwa kwa kuwa Inonga Beki la kimataifa la Congo limesepa na kenedy juma amesepa pia, sasa nawashauri mumchukue Mwamunyeto kutoka yanga ambaye ana speed kubwa , aende kucheza na beki mwenye spidi ya kobe mkameruni fondo malon che mzee wa slow motion.
 
Habari wanagentamycine washabiki kindakindani wa Simba kindaki ndaki, nikiongea kutokea Tanga mjini maeneo ya Mkwakwani napenda kutoa taarifa kuwa taarifa za simba kumnunua mchezaji wetu Lameck Lawi si za kweli, na simba hawakufuata utaratibu tuliowapa. kwakuwa tumeshapata offa nzuri kutoka nje ya nchi na simba imeshindwa kukidhi matakwa yetu hivyo hatutawaachia Lawi.

Ushauri wangu kwa Malokokocho ni kuwa kwa kuwa Inonga Beki la kimataifa la Congo limesepa na kenedy juma amesepa pia, sasa nawashauri mumchukue Mwamunyeto kutoka yanga ambaye ana speed kubwa , aende kucheza na beki mwenye spidi ya kobe mkameruni fondo malon che mzee wa slow motion.
Aibu utaiona siku ukiona anaichezea Simba.
 
Simba. Ina wanasheria wanaojielewa sio huko kwenu kwa vilaza Kila siku mnashitakiwa Fifa.
 
Mnajisumbua. Hamuwezi shindana na pesa.
 
Back
Top Bottom