Sisi kama Serikali tuna mipango kazi mingi ya kupambana na mgao wa umeme na sio IPTL pekee!

Sisi kama Serikali tuna mipango kazi mingi ya kupambana na mgao wa umeme na sio IPTL pekee!

Mwl Athumani Ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,280
Reaction score
2,522
Ndugu zangu watanzania

Mgao wa umeme unaoendelea ni matokeo ya kupungua kwa kina cha maji kwa vyanzo vyetu tunavyovitegemea KILA mwaka!

Ikumbukwe KWAMBA mvua za Msimu wa mwaka 2021/2022 zilikuwa chini 1500mm hivyo kutokujaza ipasavyo nyanzo vyetu VYA umeme kama kidatu,mtera na vinginevyo,Hali hii imesababisha kupungua kwa kina cha maji kutokana na ukame unaoendelea nchini na kuchelewa kwa mvua za vuli kumeleta sintofahamu katika vyanzo vyetu VYA umeme!

Kutokana na tatizo la mgao,sisi kama wizara ya nishati tumeona tuje na mipango kazi mingi Sana ya kukabiliana na tatizo hili,nachelea kusema IPTL ni sehemu ndogo Sana ya mipango kazi mikubwa tuliyonayo ILI kukabiliana mgao wa umeme nchini!

Mipango kazi yote ipo katika Hatua za Mwisho kabisa kutekelezwa na IPTL ikiwa ni sehemu ndogo Sana ya mpango kazi huo ILI kuleta umeme wenye tija nchini!

Tuna imani kama wizara mipango kazi hii itatatua tatizo la kukatika katika umeme nchini na kuondoa sintofahamu ya umeme!

Wananchi muwe watulivu katika kipindi hiki cha mpito wakati tukikamilisha Hatua za Mwisho za utekelezaji wa mipango kazi hii!

Asanteni Sana kwa kunisikiliza!

Mungu ibariki Tanzania, ibariki wizara ya nishati na umeme!

NB
Nimeongea kama naibu waziri wa nishati na umeme nchini!
Bandiko hili,liwafikie;-

-Mh. Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.

-Waziri wa nishati na umeme Mh.January Makamba.

-Katibu mkuu na makatibu mbali mbali wa wizara husika
 
Ndugu zangu watanzania

Mgao wa umeme unaoendelea ni matokeo ya kupungua kwa kina cha maji kwa vyanzo vyetu tunavyovitegemea KILA mwaka!

Ikumbukwe KWAMBA mvua za Msimu wa mwaka 2021/2022 zilikuwa chini 1500mm hivyo kutokujaza ipasavyo nyanzo vyetu VYA umeme kama kidatu,mtera na vinginevyo,Hali hii imesababisha kupungua kwa kina cha maji kutokana na ukame unaoendelea nchini na kuchelewa kwa mvua za vuli kumeleta sintofahamu katika vyanzo vyetu VYA umeme!

Kutokana na tatizo la mgao,sisi kama wozara ya nishati tumeona tuje na mipango kazi mingi Sana ya kukabiliana na tatizo hili,nachelea kusema IPTL ni sehemu ndogo Sana ya mipango kazi mikubwa tuliyonayo ILI kukabiliana mgao wa umeme nchini!

Mipango kazi yote ipo katika Hatua za Mwisho kabisa kutekelezwa na IPTL ikiwa ni sehemu ndogo Sana ya mpango kazi huo ILI kuleta umeme wenye tija nchini!

Tuna imani kama wizara mipango kazi hii itatua tatizo la kukatika katika umeme nchini na kuondoa sintofahamu ya umeme!

Wananchi muwe watulivu katika kipindi hiki cha mpito wakati tukikamilisha Hatua za Mwisho za utekelezaji wa mipango kazi hii!

Asanteni Sana kwa kunisikiliza!

Mungu ibariki Tanzania, ibariki wizara ya nishati na umeme!

NB
Nimeongea kama naibu waziri wa nishati na umeme nchini!
Bandiko hili,liwafikie;-

-Mh. Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.

-Waziri wa nishati na umeme Mh.January Makamba.

-Katibu mkuu na makatibu mbali mbali wa wizara husika
Isije kua chanzo kurejesha wahuni kufua umeme. Tuliambiwa chanzo cha umeme wa gesi ndio kikuu sasa vipi tena? IPTL ilikua ni wizi mtupu kwa umma. Ni mategemeo sasa IPTL ni mali ya tanesco kama ilivyotakiwa na mkataba wa awali na tanesco na kwamba watarekebisha mtambo uwe unatumia gesi badala ya mafuta mazito yanayouzwa bei kubwa sana.
Tetesi za Singasinga Seth na genge lake kudai mahakamani kurejeshewa iptl hatutaki kabisa kusikia. IPTL ilikua uhuni wa kiwango cha kutisha.
 
Mkuu nilisikia tunampango kabambe wa kuuza umeme nje ya nchi hivi karibuni.
Je mipango hii kabambe imefikia wapi?
Mkuu
Mipango kazi ya umeme inaendelea tutaanza kuuza umeme nje ya nchi soon!!

Tumejipanga ipasavyo !!
 
Umeme wetu ni wa bahati nasibu
Chanzo chetu kikubwa cha umeme ni maji!Sasa kina cha maji kimepungua sana,hivyo sisi kama wizara tumekuja na mpango KAZI kabambe kutibu tatizo hili na IPTL ni sehemu ya mpango kazi huo!tunawaomba wananchi mtuunge mkono katika mapambano haya ya kuondoa giza nchini!!
 
Chanzo chetu kikubwa cha umeme ni maji!Sasa kina cha maji kimepungua sana,hivyo sisi kama wizara tumekuja na mpango KAZI kabambe kutibu tatizo hili na IPTL ni sehemu ya mpango kazi huo!tunawaomba wananchi mtuunge mkono katika mapambano haya ya kuondoa giza nchini!!

Mkuu hata kama hii post yako umeiwasilisha katika maudhui ya kiutani, huwa najiuliza hizo akili ndogo zilizoamua kujenga bwawa la SG hawakuona haya mabadiliko ya tabia nchi?
 
Back
Top Bottom