PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Utopwinyo kesho anachinjwa kama kukuAisee ukisikia kupatwa kwa Uto ndo huku
Nimekumis mtaniπ‘
MBUMBUMBU manina zenu.Tutaanza kushangilia kuanzia goli la sita, hayo matano ya mwanzo hatutayashangilia sababu tunajua tayari yapo.
Na kwenye hayo magoli saba yule jamaa yao mwenye goli 5 lazma apige hat trick.. hivyo kombe mna kosa na kiatu mnakosa...
Ma bwege nyie
Na iwe hivyo na zaidi kidogoTutaanza kushangilia kuanzia goli la sita, hayo matano ya mwanzo hatutayashangilia sababu tunajua tayari yapo.
Na kwenye hayo magoli saba yule jamaa yao mwenye goli 5 lazma apige hat trick.. hivyo kombe mna kosa na kiatu mnakosa...
Ma bwege nyie
Matusi hatutakiAcha kupenda kushika ukuta mtoto wa kiume unafurahia muarabu kukutia bao 6 na unashangilia...
Matusi noMBUMBUMBU manina zenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji35]
EWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KULITIA TAIFA AIBU............KAMA UNA PRESHA USIANGALIE MECHI MAANA TUMECHOKA KUZIKA WATU KILA TUKIFUNGWAEWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUDHIHIRISHIA ULIMWENGU KWAMBA YANGA NI KUBWA KIASI GANI NA TUNA UKUBWA KIASI GANI KATIKA SOKA.
NAJUA KUNA WATU HAWATA PENDA HISTORIA TUNAYOENDA KUIANDIKA LEO HII.
NIKUOMBE TU KAMA HUNA USTAHMILIVU NA TIMU YA YANGA USIANGALIE MECHI YA LEO.
MECHI HII NI KWA AJILI YA WABOBEZI WA SOKA.
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Sana, haipungui goli 7Leo tunapenda kutazama moja ya fainali nyepesi sana kwa Waarabu.