Sisi Mtibwa Sugar tunataka polisi kuimarisha ulinzi Uwanja wa Taifa kukabiliana na wahuni wa Yanga

Sisi Mtibwa Sugar tunataka polisi kuimarisha ulinzi Uwanja wa Taifa kukabiliana na wahuni wa Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Video ikionyesha wahuni wa Yanga wakiahidi kufanyia fujo marefa kama timu yao itafugwa. Mtibwa Sugar tunatoa rai kwa TFF ishirikiane na Jeshi la Polisi kuweka ulinzi na kutoa kipigo cha mbwa koko kwa wahuni wa Yanga.

Tunalitaka jeshi litoe onyo kabisa kabla ya mechi,wahuni wanaokuja na matoeo ni bora wabaki nyumbani.

Tunasema hivo kwa sababu tunaenda kutoa kipigo kizito kwa Yanga ili wajitoe vizuri.



Kifaru
 
Tunza kumbukumbu hii vizuri. Mtibwa leo taifa hatoki salama. Baada ya game tutafutane. Mtibwa anapigwa goli 3
 
Utaratibu ni uleule kama kawaida yangu.
Soltep ya karatasi naiandika jina la ile timu kisha naibandika pumbu ya kushoto kisha iyo Pumbu naiminyaaa mpaka mpira uishe.
Akuna kucheka na Manyani.
 
Back
Top Bottom