Sisi Mtibwa Sugar tunataka polisi kuimarisha ulinzi Uwanja wa Taifa kukabiliana na wahuni wa Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Your browser is not able to display this video.


Video ikionyesha wahuni wa Yanga wakiahidi kufanyia fujo marefa kama timu yao itafugwa. Mtibwa Sugar tunatoa rai kwa TFF ishirikiane na Jeshi la Polisi kuweka ulinzi na kutoa kipigo cha mbwa koko kwa wahuni wa Yanga.

Tunalitaka jeshi litoe onyo kabisa kabla ya mechi,wahuni wanaokuja na matoeo ni bora wabaki nyumbani.

Tunasema hivo kwa sababu tunaenda kutoa kipigo kizito kwa Yanga ili wajitoe vizuri.


Kifaru
 
Tumsikie Thobias Kifaru anasemaje
 

Attachments

  • 2ca4de97a44a4d34b4857bc0b04161ab.mp4
    1.5 MB
Tunza kumbukumbu hii vizuri. Mtibwa leo taifa hatoki salama. Baada ya game tutafutane. Mtibwa anapigwa goli 3
 
Utaratibu ni uleule kama kawaida yangu.
Soltep ya karatasi naiandika jina la ile timu kisha naibandika pumbu ya kushoto kisha iyo Pumbu naiminyaaa mpaka mpira uishe.
Akuna kucheka na Manyani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…