Papayo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 270
- 358
Reli ramani imepotelea kichakani….Mturuki anadai hela zimeisha...Stesheni zingine zinakaa vyoo vya askari kanjo..kama ile ya Puga...Reli ya umeme yenye stesheni namna ile ni kutia aibu aisee….Poyoyo sikiliza,brt haijawah tengeneza hasara,ni ile shida ya buses kua chache kuliko abiria. ..
Ujenzi wa SGR uko moto wewe jibambe waturuki wamekimbia najua unaona aibu na ilo gari moshi lenu mlilopigwa $$$zakutosha na mchina..
Tz inawafunika na kuwafunua bila uoga na kuwaonea aibu...Treni Za umeme zikianza kufanya kazi najua mtatamani sana ingekua kwenu mpate kujitapa kama kawaida yenu