lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
-Watu wenye magari makubwa kama VX V8 na Range Rover wanauziwa property magazine zenye taarifa za apartments na nyumba zinazouzwa.
-Watu wenye gari ndogo kama IST, Probox, Vitz, Premio, n.k. wanauziwa korosho, weipa, jumper cables na alfabeti za watoto.
-Watu wa daladala wanauziwa sumu ya panya mende viroboto sisimizi na mitego ya panya.
Wale kwa miguu wanaletewa dili za kitapeli kama dhahabu kwenye kichupa, au bahasha ya khaki unaambiwa ina hela mtu kadondosha pengine hata smartphone kali unaambiwa lete elfu 30 tu.[emoji51]
Wacha nirudi zangu mkoa tu.
-Watu wenye gari ndogo kama IST, Probox, Vitz, Premio, n.k. wanauziwa korosho, weipa, jumper cables na alfabeti za watoto.
-Watu wa daladala wanauziwa sumu ya panya mende viroboto sisimizi na mitego ya panya.
Wale kwa miguu wanaletewa dili za kitapeli kama dhahabu kwenye kichupa, au bahasha ya khaki unaambiwa ina hela mtu kadondosha pengine hata smartphone kali unaambiwa lete elfu 30 tu.[emoji51]
Wacha nirudi zangu mkoa tu.