Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia


[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]
 

Mimi naongelea ccm kama chama, wewe unaongelea habari za katiba!
 
Siku zote ukibebwa mgongoni, ni ngumu sana kuujua umbali wa hio safari..

Mama anataka kuendekeza misaada,,, na sio kufanya Misaada kama sehemu ya kutu boost tunapokwama...

Acha tumpe Muda.
 
Siku zote ukibebwa mgongoni, ni ngumu sana kuujua umbali wa hio safari..

Mama anataka kuendekeza misaada,,, na sio kufanya Misaada kama sehemu ya kutu boost tunapokwama...

Acha tumpe Muda.
HAPASWI KUPEWA MUDA, UWEZO WAKE NI MDOGO MNO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…